Tulonge

Breaking News:KUHUSU "AZAM MARINE" ILIYOKUWA IKITOKA DAR KUELEKEA ZANZIBAR!.

                            Breaking News:


Salam kwako ndugu mdau:

Boti ya "Azam Marine" iliyokuwa inatoka Dar-es-salaam asubuhi ya leo kuelekea Zanzibar ikiwa imepakia abiria wasiopungua 450 na mizigo ipatayo tan 13,wamefika salama na mizigo yao bandarini Zanzbar!.Al-hamdulillah Rabbil-A'lamin.
Asanteni sana.na habari ndio hiyo.Sio kila zikizama tu ndio tuambiane na kujulishana,bali hata zikfika salama pia tujulishane!.
Na IL-YA

 

Views: 1585

Reply to This

Replies to This Discussion

Hahahahahahaaaa nimeipenda hii kaka

Duh!!! nilivyokimbilia haraka kwenye hii habari... teheheheee

Hata mimi nilikuja speed kweli. Nikajua kitu kimesha zama

uuwwiiiiiiiiiiii,wengine tunasomaga tuu vichwa vya habari hatusumi habari,

hapa presha lazima ishuke na kupanda.ha ha haaaa

sawa kaka na uwezo wa meri hiyo ni watu wangapi na mizigo tani ngapi

Reply to Discussion

RSS

© 2023   Created by Tulonge.   Powered by

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

/* \uascript type="text/javascript">\udinsert below header image\udif (typeof(x$) != 'undefined') {\ud var postHeaderImageAd = '\uadiv id="postHeaderImageAd ">\ua\ua/div>';\ud x$("#xg_masthead").after(postHeaderImageAd);\ud}\ud \uascript type="text/javascript">\ud insert below header image \udif (typeof(x$) != 'undefined') {\ud var postHeaderImageAd = '\uadiv id="postHeaderImageAd ">\ua\ua/div>';\ud x$("#xg_masthead").after(postHeaderImageAd);\ud}\ud /*