Tulonge

Hadithi! hadithi: Hadith njoo, uongo njoo utamu kolea

JAMAA1 alienda kumnunulia MPENZI wake keki ya birthday, kanunua mwenyewe ya sh elf15 akapanda daladala kaishikilia isiharibiwe, mala akashuka ki2oni akatembea kwa umakin asijikwae keki ikaanguka.

Wakat anafika eneo la 2kio na Range ikawa inapaki nje, bana we! akashuka mkaka very smart(WA RANGE) mh na vijana wawil wakashusha keki ya chocolate ina ngazi3 na zingine2 za pembeni,

JAMAA akajipa moyo kwamba mh bwana yule ni MPENZI wangu atapokea hata hk kidogo,

haa! wakat JAMAA anawaza hayo akaona MPENZI wake kapigilia kigaun cha uchokoz akamkumbatia WA RANGE afu akamkisi shavu la kushoto mwaah, la kulia mwaah kwenye lips mmmh!

JAMAA: (akashtuka) mh mbona na lips zalabwaa mh! (Akajipa Moyo) wacha nijitose.
MPENZI: (alivyomuona akamdaka) ''jaman kaka karibu kwa birthday yangu''
JAMAA : mh mi kakako wewe?
wakat anauliza, MPENZI akasepa kumuwai WA RANGE wakaenda kuketi mbele kulee, wakat JAMAA anaduwaa mashost wa MPENZI wakamdaka,
Mashost: shemej leta keki ikakatwe itawekwa kwenye chakula cha pamoja, afu njoo huku siti yako ipo nyuma.
JAMAA:What? natakiwa nikae na MPENZI wangu mbele.
MASHOSTI: ebu njoo ukae bana.

Mala MUPENZI akasimama akamtambulisha WA RANGE kama ndo kishtobe wake wa moyo, WA RANGE akasimama wakakata keki wakalishana kwa mdomo.

Haa JAMAA akataka kusimama kwenda mbele, mashost wakamvuta chini.
MASHOSTI: Shemeji ebu 2lia, nin lakin kumuaribia mwenzio?
JAMAA: nyi mnaona sawa vile amefanya?
MASHOSTI: pole shemeji hapa hapendwi m2 inapendwa pesa.
JAMAA: (kwa hasira akasema) mwambien asante ananifanyia mim hv (huku anasepa) poa Mungu yupo.
MASHOSTI: (cheko la unafki!)

Views: 2996

Reply to This

Replies to This Discussion

Hahahahahahaa ndiyo maana hakuna haja ya kupendana saaana siku hz. Mnapendana kidogo tu, ili hata mkitosana haiumi sana.Siku hizi kukatisha mapenzi kwa sababu ya mali ni kawaida sana.Mambo ya kumpenda msichana/mvulana kwa moyo wako wooote hakuna.Muulize Ali Kiba akupe mistari ya 'Single boy'.

Inaelekea jamaa aliondoka akiwa mdogo kama piliton.

Hahaha yan zaid ya piriton hahaha.

Mistari ya single boy inahusika sana mwaya hujakosea.

Hivi D+ unahamin hakuna mapenz ya kwel siku hz
Hahaha yan zaid ya piriton hahaha.

Mistari ya single boy inahusika sana mwaya hujakosea.

Hivi D+ unahamin hakuna mapenz ya kwel siku hz

-Mapenzi ya kweli yapo ila kwa watu wachache saaaana ukilinganisha na zamani. Maisha magumu tuliyonayo hasa nchi zinazoendelea yamesababisha watu kuthamini pesa zaidi katika mapenzi.

-Pia binadamu hatuna hofu ya Mungu siku hz. Tunafanya dhambi bila jali kuwa Mungu hapendi.Hivyo mtu kumtenda vibaya mpenzi wake haoni tabu.

hiyo inamaumivu bora ujikwae keki ianguke kuliko kuifikisha hapo,

Thats true D+ wa2 hawamwogopi Mungu, yan ingawa wapo wachache ambao wanatrue love.
Bonielly ni Ngumu kumeza!

mhuu bora tu jamaa kasepa zake maana hapo yeye alikuwa kidumu na wa Range ndiyo ndoo.

Manka ukute anampenda Jamaa ila pesa mwanaharamu bana. Kamchagua mpenz pesa

Bora angemwambia usije mapema. Na huyo wa Range Rover sio wake peke yake huyo bibie, afanya kula uchafu wa wenzie ukute katoka kwa mwanamke mwengine.

Hahaha Mama Malaika ilo nalo neno.

Jaman ngoja niconfence! Nilikua kwenye daladala akapanda mkaka kabebelea keki hapo hadith ilipoanzia nkai2nga kichwan, haijamtokea m2 kiukwelii

Reply to Discussion

RSS

© 2023   Created by Tulonge.   Powered by

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

/* \uascript type="text/javascript">\udinsert below header image\udif (typeof(x$) != 'undefined') {\ud var postHeaderImageAd = '\uadiv id="postHeaderImageAd ">\ua\ua/div>';\ud x$("#xg_masthead").after(postHeaderImageAd);\ud}\ud \uascript type="text/javascript">\ud insert below header image \udif (typeof(x$) != 'undefined') {\ud var postHeaderImageAd = '\uadiv id="postHeaderImageAd ">\ua\ua/div>';\ud x$("#xg_masthead").after(postHeaderImageAd);\ud}\ud /*