Kuna dada mmoja alipanda daladala akiwa na mwanawe..'dada yule kila alipo kuwa anataka kumyonyesha mtoto mtoto akawa ana kataa ndipo yule dada akawa anamtishia mwanawe kwamba nyonya usipo nyonya nta mpa ANCO anyonye (ANCO ni jamaa mmoja aliye kaa siti moja na yule dada) basi yule mtoto akanyonya then akasusa kama mwanzo mama yake akarudia kumtishia kama mwanzo kwamba nyonya usipo nyonya nitampa ANCO ndipo yule jamaa akafunguka kwa sauti kubwa bila ya kujali wingi wa abilia"Dada kuwa na msimamo basi unanipa hilo ziwa nipe kama hutaki sema nishuke..?maana nimevuka vituo vinne kwa ajili yako
Tags:
Hahahahahhahahahahahahahahaahaaaaaaaa, ANCO chizi kweli!
Hahahahah..Angempa na yeye kdg jamani kwanini amtamanishe halafu asimpe??
Hahahhaahahahahahahahaaaaaaaaaaa wapenda nyonyo utawajua tu @ Alfan
Reply by Alfan Mlali on January 3, 2013 at 7:20pm
Mi napenda sana kumung'unya chakula ya mtoto aisee..
Ha haa haa haa haaa... Kayay umenivunja mbavu
hahahahahaaaha@ Chezeya utamu wa nyonyo wewe? Hata mimi napendaga...kwikwikwi
Hahahahahah eeeeeeeeee jamani inamaana anataka maziwa yanayonyonywa humo na mtoto nae ayapate au anataka nyonyo alichezeee? Duh ameniongezea siku
haha haha haha Anco kadata
© 2023 Created by Tulonge.
Powered by