Nauliza pole-pole kama Sagatti---Ni swali moja tu lina maneno sita tu. Kuwa: HIVI WAAFRIKA HATUWEZI KUJIENDESHA BILA WAZUNGU?
Nauliza hivyo kwa sababu ya misaada ambayo kila siku tumekuwa tukipewa, na misaada hiyo imekuwa inakuja sambamba na masharti magumu sana. Wengine wanapanda ndege ndege kwenda Amerika (USA) eti kufuata msaada wa vyandarua vya Mil. 90.
Ni hayo tu Waungwana.
Tags:
Ni kubweteka tu, na pengine ni zile 10% zinazoambatana na hiyo "misaada".
tuwarudishie magari yao yote tutumie nyumbu zetu
na tufanye hivyo secta zote ndipo tutafanikiwa bana
africa kujitegemea mpaka mungu aje
Ten percent--ha ha ha Mama M dada yangu huwa najiuliza................."hivi wao wanaweza kwa nini sisi hatuwezi"........? articles au maandiko mengi ya kuhusu uchumi yanasema miaka ya sistini nchi nyingi za bara Asia, tulikuwa nazo level moja kiuchumi. La kushangaza hivi leo wao kwetu ni maboss!!! Au tulishamkosea Sir God? Nauliza tu.
<3
“Our deepest fear is not that we are inadequate.
Our deepest fear is that we are powerful beyond measure.
It is our light, not our darkness that most frightens us.
We ask ourselves, 'Who am I to be brilliant, gorgeous, talented, and fabulous?' Actually, who are you not to be?
You are a child of God.
Your playing small does not serve the world.
There is nothing enlightened about shrinking
so that other people won't feel insecure around you.
We are all meant to shine, as children do.
We were born to make manifest the glory of God that is within us.
It's not just in some of us; it's in everyone.
And as we let our own light shine,
we unconsciously give other people permission to do the same.
As we are liberated from our own fear, our presence automatically liberates others.”
- Marianne Williamson.
****Tafakari.
Hakuna kinachoshindikana but fukuza wazee wote wa 10% kisha itungwe sheria kali ya kulinda fedha za serikali atakaesababisha hasara jera atakaekula rushwa jera au bunduki hadharani tena sheria hiyo ikitekelezwa bila kusita wala kuogopa ianze na vigogo wa ngazi za juu hawa dagaa wote wataogopa nyokozao.
© 2023 Created by Tulonge.
Powered by