Tags:
Binafsi naona hafai kuwa kioo cha jamii ,na ili uwe kioo cha jamii unaitajika kuwa na mambo yafuatayoo
1kujitambua wewe mwenyewe ni nani?
2kuwa mcha mungu
3kuwa na upendo kwa jamii inayokuzunguka
4kujihesimu ktk mavazi na maongezi unayoongea
5kuwa mwaminifu ktk mahusiano ya ndoa
6kuwa mkweli
© 2023 Created by Tulonge.
Powered by