Naomba uniambie mauzo ya kitimoto mitaa unayoifahamu kama yameongezeka au kupungua kwa kuangalia mahudhurio ya watu sehemu hizo au sababu nyingine.
-Kama mauzo yamepungua andika "YAMEPUNGUA", kama yameongezeka andika "YAMEONGEZEKA"
Tags:
Severin me sijabisha kuwa wa2 wa dini yangu sio waasi hao ni 1 ya walaaniwa kwani m2 yoyote anaeenda kinyume na maandiko ni 1 wa wenye laana so yeye kula kiti moto haimaanishi waislam wote wako hivyo laa,
pia hakuna andiko lolote katika dini zote lililosema kitimoto halali kuliwa
wote walao kitimoto wanaenda kinyume na maandiko ya MUNGU.
© 2023 Created by Tulonge.
Powered by