Tulonge

Huyu ni msanii wa sanaa ya uigizaji wa filamu za Kibongo. Kutokana na matendo yake tunayo yasikia na kuyaona, unadhani anafaa kuwa mfano wa kuigwa na jamii ya kitanzania?



Views: 2273

Reply to This

Replies to This Discussion

Teh teh teh eti kioo cha jamii. Huu ni mcharuko balaa kupitiliza,hakiwezi kuwa kioo cha jamii kwa tabia zake.
yuko kibiashara zaidi!so anaonyesha msisitizo!!
huu ni mtambo kaka.kwani ulikuwa hujui??
Mi namzima kweli,,,, Dismas fanya mpango unipatie namba yake ya simu!
wapo watu humu ndani bado hawakubaliani na mada hizi bado wanasema huyu ni kioo cha jamii, hata ukijalibu kuwafafanulia hao wanakufafanulia wanavyojua wao,
Hahahaaaaa Boni naona unamsema Don Magere. Hicho ni moja kati ya vioo vya jamii ya Tanzania jamani hahahaaaaa
utauwawa bro shauri yako!!!!

Alfan Mlali said:
Mi namzima kweli,,,, Dismas fanya mpango unipatie namba yake ya simu!
@dis nasikia ulishatoa posa tihi tihi tihitihiii wajameni,
huyu nahisi ndio kioo cha jamii cha mdogo wangu lulu,
Hahhahahahaaa mzee Boni naona umenichoka ww. Hata nikiwa kipofu cwezi toa posa kwa huyu
Dis umekuwa mgomvi nimekuomba namba ya simu for almos a week so mpe yangu ani beep tu

Reply to Discussion

RSS

© 2023   Created by Tulonge.   Powered by

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

/* \uascript type="text/javascript">\udinsert below header image\udif (typeof(x$) != 'undefined') {\ud var postHeaderImageAd = '\uadiv id="postHeaderImageAd ">\ua\ua/div>';\ud x$("#xg_masthead").after(postHeaderImageAd);\ud}\ud \uascript type="text/javascript">\ud insert below header image \udif (typeof(x$) != 'undefined') {\ud var postHeaderImageAd = '\uadiv id="postHeaderImageAd ">\ua\ua/div>';\ud x$("#xg_masthead").after(postHeaderImageAd);\ud}\ud /*