Tags:
Kabla ya kufunga, ndoa nadhani jambo la msingi kuanza maisha ,mukiwa mko mbali na wazazi.
Fitna iko , kwa wanawake wanapoishi pamoja na visa mamkwe husema au tutenda akiisahau nafsi yake kuwa yeye ni mama mzazi wa bwana na mamkwe kwa bibi.
Haina maana kabisa kuwatenga wazazi lakini hakutakuwa na shida zozote pindi BA mKWE mkiishi pamoja- hii ionekane - shida ipo kwa wanawake.
NDOA inafanyika hali ya kuwa ni watuwazima mkiwa na mfumo au sera zenu nje na "longolongo" ya kwenu( familia asili).
Kitendo cha mke kuangana na mume aenda kazini inatosha mamamkwe akajitia kati " anampumpaza mwanangu- sijui kama hamrogi ...."
Kitendo cha kutoa na wife kwenda super market - MAMKWE...." bibi anamfilisi mwanangu " Almradi kila hatua au move ndani ya maisha - mama huyu ataweka mdomo au malalamiko dhidi ya maisha ya watu.Mama bado yuko mbali kifikra bado yuko ' chama kushika hatamu..." kitu hakipo ukale na usasa vina msuguano....
HIZO NDIO ZANGU FIKRA BINAFSI....
© 2023 Created by Tulonge.
Powered by