Tulonge

MAMBO MAZURI NA MAKUBWA YANAKUJA TULONGE, TEMBELEA MARA NYINGI UWEZAVYO

Habari wana wa TULONGE?

Ni matumaini yangu kuwa mu wazima. Napenda kuchukua nafasi hii kuwajulisha tu kuwa kuna mambo mazuri na makubwa yanakuja hapa TULONGE. Kama kawaida yangu huwa nikiahidi, lazima nitekeleze. Unachotakiwa kufanya, ni kutembelea TULONGE mara nyingi uwezavyo, changia mijadala mara nyingi uwezavyo, up-load mapicha, ma-video na kadhalika, alika wadau wengi uwezavyo.

CHA nimesema mambo mazuri na makubwa yanakuja , trust ME.  KAZI NI KWAKO.

Unaweza vilevile kuniachia namba yako ya simu hapa hapa.

Views: 477

Reply to This

Replies to This Discussion

Mie nasubiria hayo mambo mazuri na makubwa. Tulonge kafichwa wapi?

Ha ha ha ha ha ha ha ha.......Tulonge itakuwa kaenda kujiandaa na kugombea Ubunge kwao. Maana Tanzania siku hizi kila mtu anataaka kuwa mwanasiasa.

Aenda gombea kwa babu yake Tanga?? Ha ha ha ha haaa

Tanzania kuna tatizo kubwa sana sana la distribution of income, inasikitisha kwani larudisha nchi nyuma sana. Wana siasa wanalipwa hela kubwa kuzidi professionals wafanyao kazi ngumu mazingira magumu. Njoo England, family doctor wa kawaida tu wa zahanati ndogo ya sirikali apata mshahara na posho kubwa kwa saa limoja au siku moja kuzidi mbunge hapo House of Commons. Tanzania kukifanyiwa marekebisho mishahara na posho basi hizo mbio za watu kutaka uana siasa zitapungua.

Reply to Discussion

RSS

© 2023   Created by Tulonge.   Powered by

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

/* \uascript type="text/javascript">\udinsert below header image\udif (typeof(x$) != 'undefined') {\ud var postHeaderImageAd = '\uadiv id="postHeaderImageAd ">\ua\ua/div>';\ud x$("#xg_masthead").after(postHeaderImageAd);\ud}\ud \uascript type="text/javascript">\ud insert below header image \udif (typeof(x$) != 'undefined') {\ud var postHeaderImageAd = '\uadiv id="postHeaderImageAd ">\ua\ua/div>';\ud x$("#xg_masthead").after(postHeaderImageAd);\ud}\ud /*