Tags:
Replies are closed for this discussion.
Jamani huyu mdau wa wiki ndiye aliye nifumbua macho mimi kwenye ulimwengu wa kutumia computer enzi hizo. Nashukuru kwa hilo boss.Nakumbuka enzi hizo hata kutembeza mouse ilikuwa tabu kubwa kwangu.
-Sasa mwalimu unayaonaje maendeleao ya mwanafunzi wako (Tulonge) toka ulipokutana naye mara ya kwanza hadi sasa?
© 2021 Created by Tulonge.
Powered by