Tags:
Replies are closed for this discussion.
ok Michael!
just tell me about yourself.
cheers
Hello K mambo niaje?
swali langu ni kuhusu milipuko ya mabomu jana ucku je wewe imekuathiri kwa kiasi gani?
mmh asante kwa majibu ila sidhani kama kuna mtu atakua anatilia maanani hata kama akikutana na kundi la mifugo barabarani japokuwa na wao ni viumbe lakini kipaumbele kimewekwa kwa binadamu zaidi.
kila la kheri huko uliko.
maombi uliomba kweli yanafanya kazi coz sioni m2 wa kukuswalika me mwenywe nilikuwa nayo lukuki
bt yote umenisahaulisha doh! kweli we ni noma
lakini siishii hapa
1 wewe ni mzaliwa wa wapi? i mean kabila gani?
2 umeoa? na watt wangapi?
3unaishije? mjini je unatumia maji ya ilala?
4 unaileaje? family yako? namaanisha una muda wa kukaa na watoto wako? na kujuwa tabia ya kila mtt?
5 ww ni m2 wa aina gani? unafikiri wa2 wanakuchuliaje? ua wanakusemaje?
6 ni wa2 wa aina gani unapenda kubadilishana nao mawazo? baada ya kazi wazee? vijana?
7 je unafikiri pombe au vileo vinaweza kumfanya m2 asiwe na maamuzi sahihi?
8 je nikweli pombe inasababisha maambukizi ya HIV? nikimaanisha m2 akinywa pombe inamshawishi kufanya ngono zembe?.
kwa leo naishia hapo nikikumbuka tena nakujia hata kwa mguu.
© 2021 Created by Tulonge.
Powered by