shikamoooooni woteeeee.
nimewamiss sana hi to mama malaika don m mabagala.chaoga cha the great michuzijr dismas alfan mlali.dixon,mary mkumbo araway rt na wengineee woteeeeeeee mwenzenu nipo kijijini gamboshi nalima pilipili huku mtandao hakuna
babukadja miss you all
kama umenimiss gonga like uwiiiii kumbehumu hakuna like nimechemsha meeen
Tags:
Karibu tena binti, naona umefichwa kweli. Hata hapa like ipo
Miss you too Mtoto Mzuri. Habari ya masiku?
Ebu tuambie uko kijiji gani ili Tulonge Funga/Fungua Mwaka Party ifanyike hapo ulipo. Yaani tunafunga safari kuja huko uliko ili tu-celebrate.
Siamini kama ni wewe! Au naota jamani.
Karibu sana.
Mtoto mzuri karibuuuuuuuuu tena na tena,jamani tulikumiso huku tulonge.
hebu tupe habari za huko ulipokuwa.usitutenge tena mtoto mzuri.
Ni wewe yule yule mkwe wangu mtoto mzuri au nina ota ndoto?
we basi mwenzio nilijua hakuna nimeshakaribia
Tulonge said:
Karibu tena binti, naona umefichwa kweli. Hata hapa like ipo
Mama Malaika said:
Ni wewe yule yule mkwe wangu mtoto mzuri au nina ota ndoto?
ni mimi yule mkweee wako wa miaka ileee kitambo si unajua tena
Mary wa mkumbo said:
Mtoto mzuri karibuuuuuuuuu tena na tena,jamani tulikumiso huku tulonge.
hebu tupe habari za huko ulipokuwa.usitutenge tena mtoto mzuri.
habi za huku bwana we acxha tu
Cha the Great said:
Miss you too Mtoto Mzuri. Habari ya masiku?
Ebu tuambie uko kijiji gani ili Tulonge Funga/Fungua Mwaka Party ifanyike hapo ulipo. Yaani tunafunga safari kuja huko uliko ili tu-celebrate.
mie kijiji changu ni hiki hiki aisee nilikosa jiparty humu roho inaniumajee kama tuirevenge
Siamini kama ni wewe! Au naota jamani.
Karibu sana.
jamani!!!!!!
Ni wewe yule yule mkwe wangu mtoto mzuri au nina ota ndoto?
mtoto mzuri bado upo? nilikuja mpaka gamboshi kukusaka pasina kuona wewe! wapi sikuizi?
© 2023 Created by Tulonge.
Powered by