Assalam alaykum wadau wa tulonge,
kuna swahibu wangu wa pete na chanda, aliwahi kuniuliza swali lifualatalo:
Amewahi kufanya mapenzi na wanawake kama watatu hivi, lakini wakati wa kufanya shughuli yenyewe huwa ni mujarab sana wa kuweya kumfikisha mhusika kileleni, nakusudia kwamba humchezea mpüaka mwanamke akakojoa, lakini mtihani upo hapa! akitaka kuanza kuchinja, kisu chake kinalika, na makali yote hupotea, hushindwa kumaliza kazi, kwani kisu kinalala, hakikati kabisaa!! lakini cha kushangaza ni kwamba, anapokuwa peke yake kisu kiakuzwa kikali sana na kutamani kichinje, anapovuta fikra tu basi huweza piga bao la aina, sasa ndio suala lake anataka kujuwa tatizo linalo msibu ni kitu gani hassa!!
Tags:
Aya! Freedom of speech naona wengine wanaitumia vibaya.
Kila swali lina majibu lakini si kila swali linatakiwa kujibiwa, kwa sababu inawezekana kabisa wewe unayejibu swali ukaonekana una "mental disodrder" kutokana na swali lenyewe.
Maswali mengine kwa kweli kwa mtazamo wangu hapa si mahala pake.
Sijui kama kuna mtu atajibu swali hili hapa kijijini, kwa jinsi navyowaelewa watu wa kijiji hiki; si ajabu wakaanza kukuporomoshea madongo.
STAY TUNED!
© 2023 Created by Tulonge.
Powered by