Sina mengi ya kuandika; ila kila nikijenga picha ya enzi za Yesu kupitia maandiko matakatifu--huwa napata shauku sana kuwa ningezaliwa kipindi hicho. Nahisi maisha yalikuwa mazuri zaidi, yalikuwa halisi zaidi kulinganisha na maisha ya dunia ya sass.
Vp, mdau/wadau mna mchango/maoni gani juu ya hili?
Tags:
Ungekuwa ulishakufa zamaniiiiiiiiii
nazani mie ndie ningekuwa miongoni mwa wafuasi wake wa kwanza yesu, ile divai aisee mie ndie ningekuwa mshika birika la kumiminia wengine...siku hizi pombe unanunua bwana...bora ningezaliwa kipindi hicho nakuunga mkono CHA.....Teh teh teh teh
Teh teh teh Chaoga ulevi utakumaliza. Mama Malaika naona umeshusha gazeti(mzalendo), ngoja nikavae miwani nije kusoma then na mimi nichangie
Yani ungezaliwa kipindi cha sodoma na gomola ungelijua hilo jiji.. teheheheeee
Teh teh teh Chaoga ulevi utakumaliza. Mama Malaika naona umeshusha gazeti(mzalendo), ngoja nikavae miwani nije kusoma then na mimi nichangie
nazani mie ndie ningekuwa miongoni mwa wafuasi wake wa kwanza yesu, ile divai aisee mie ndie ningekuwa mshika birika la kumiminia wengine...siku hizi pombe unanunua bwana...bora ningezaliwa kipindi hicho nakuunga mkono CHA.....Teh teh teh teh
Mama Malaika-dada yangu, you are a superb lecturer. Ndio maana basi Dismas ameishia tu kusema namnukuu "Mama Malaika naona umeshusha gazeti(mzalendo), ngoja nikavae miwani nije kusoma then na mimi nichangie". Hii inaonesha ni namna gani ambavyo maoni yako yalivyoshiba.
Naomba uendelee kuchangia pale ulipoishia--then nitarudi na jibu lako.
Dixon--sina la kusema.
Chaogga, umenichekesha mpaaaka baaasi; yaani siku tukikutana katika ile TULONGE PARTY---bili zote za Konyagi utakazotumia, zitakuwa zangu--I promise.
Ungekuwa katika kumbukumbu za maandiko matakatifu.
Ha ha ha wapendwa kwa nini wengine mnasema ingekuwa ni marehemu iwapo ningezaliwa enzi za Yesu?
Naombeni majibuzzz!
© 2023 Created by Tulonge.
Powered by