Tulonge

NI MWANAMKE MNENE AU MWEMBAMBA ANAYEVUTIA ZAIDI KIMAPEZI KITANDANI?

Views: 2455

Reply to This

Replies to This Discussion

mwembamba anavutia zaidi,puto mi siliwezi litavunja kitanda..!!hahaahaaaaaaaaa!
Hahahahhahaaaa Patrick umenivunja mbavu. Inaelekea unapenda sana vi-portable kijana. Kifuate hiki hapa,ni ki-portable balaa http://tulonge.ning.com/profile/MtemiKiuno?xg_source=activity
Wewe Dis mtemi kiuno ndo naniiiiii

Ila mie nampenda huyo bonge!!
ha ha ha ha mwembamba, mnene wote sawa ili maradi kachumbari tu maana hata huyo tipwatipwa ukamdhaniwa hawezi du ingia naye mzigoni uone
Wote ni wazuri, ila tu ufundi wetu sisi wanaume. Je uko na experience ya kutosha? Kwa maelezo zaidi nione kando.
Teh teh teh teh! kazi ipo hapa.
yaani kwa mtazamo wangu mwanamke mnene ndio anautamu kwa sababu mtu mwembamba mishipa yake inatokeza sana kwa nje kwahiyo hiyo mishipa huwa inaumiza sana unapokuwa umemlalia mwanamke lakini mwanamke mnene haaata ukimlalia unalalia nyamanyama tu tena anapendeza kwa staili moja hivi nibalaaaaa jaribu uone lakini usipige kelele mmmmmmmmmmmm!!!! ni balaaaaaaa
kwa mtazamo wa hapa  kuna mambo ngoja nikale nikirudi ntachangia fresh

Severin mtu asikudanganye, masuala ya kitandani usi judge kwa umbo la mwanamke bali utaalamu. Waweza pata kibonge akakupigisha kwata kitandani na ukitoka hapo uko hoi bin taaban, miguu imekulegea utasema umekunywa Wanzuki na Pingu.

 

Ooops... samahani wakwe zangu, kaka zangu na wadogo zangu ninachangia mjadala. Ha haa haaa

Halafu kaka Severin acha tabia ya kuchelewesha kuleta mada nzuri kama hizi,hizi ndio mada zangu mimi.Hapo upele umemfika mkunaji,enewei nitacome soon kukomenti,ngoja nikusanye 1 pointi maana mada kama hizi hutakiwi kukurupuka,inatakiwa unajiandaa vya kutosha , na ikiwezekana unafanya hata majaribio ili ukikomenti ulenge mle mle.

Mmmmmmmmmh

Reply to Discussion

RSS

© 2023   Created by Tulonge.   Powered by

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

/* \uascript type="text/javascript">\udinsert below header image\udif (typeof(x$) != 'undefined') {\ud var postHeaderImageAd = '\uadiv id="postHeaderImageAd ">\ua\ua/div>';\ud x$("#xg_masthead").after(postHeaderImageAd);\ud}\ud \uascript type="text/javascript">\ud insert below header image \udif (typeof(x$) != 'undefined') {\ud var postHeaderImageAd = '\uadiv id="postHeaderImageAd ">\ua\ua/div>';\ud x$("#xg_masthead").after(postHeaderImageAd);\ud}\ud /*