Nimeikuta hii sehemu nikaamua kuileta hapa.. utani mwingine bwana.
Tags:
mimi nitaomba kujiunga na hiyo cose ya kuongeza hasira.
ebana ee hii mi nimeipenda sana fom za kujiunga zinapatikana wapi? wadau manake hii si ya kukosa du safi sana
Wewe nipe address yako nikutumie form, ni za bureeee. Ha haa haa
Winfrida Joseph said:
ebana ee hii mi nimeipenda sana fom za kujiunga zinapatikana wapi? wadau manake hii si ya kukosa du safi sana
Ha haa haa.... mama mzazi hutakiwi kuongeza hasira. Wewe itakufaa ya kugema ulanzi
manka said:
mimi nitaomba kujiunga na hiyo cose ya kuongeza hasira.
Agnes karibu sana. Mshahara kwa mwezi 2,000 US Dollars
Agnes Nyakunga said:
halafu mimi pia natuma maombi ya kuwa mkufunzi
Omary usinichekeshe, kumbe wewe mwoga. Ha haa haa...
Dismas... Saya sio m-bena kweli?
nauliza hivi unautani na wahehe?
© 2022 Created by Tulonge.
Powered by