Shaykh Yahyaa Bin ‘Aliy Al-Hajuuriy [Rahimahu-Allaah]
Imefasiriwa na Ummu ‘Abdil-Wahhaab
Tabia na Maumbile:
Mwanamme ameumbwa kutokana na udongo/tope/vumbi na mwanamke kaumbwa kwa ubavu.
Allaah Amekadiria ada [hedhi] ya mwezi kwa mwanamke na sio kwa mwanamme.
Mwanamme huota ndevu lakini mwanamke haoti, na ikiwa ataota basi anaruhusiwa kuzinyoa.
Wanawake ni wapungufu wa ibada na uwezo wa kufikiri. Mathalan katika utoaji wa ushahidi, mwanamme mmoja ni sawa na wanawake wawili. Vile vile wakati wa ada zao za mwezi [hedhi] huwa hawafungi wala kuswali.
Wanaume wamepewa madaraka juu ya kuwasimamia wanawake.
Manii ya mwanamme ni meupe na ya mwanamke ni manjano.
Ni wajib kufanyiwa tohara [jando] kwa mwanamme na ni Sunnah kwa mwanamke.
Kutoga masikio kwa ajili ya mapambo kumeruhusiwa kwa wanawake na sio kwa wanaume.
IJUMA KAREEM