Tulonge

Habari za wote!

Jamani ni muda hatujajuliana hali, hatujabadilishana mawazo na mambo kama hayo. Nafikiri ni wakati sasa kujumuika pamoja katika kuimarisha udugu, na urafiki wetu kwa kukutana pamoja kama ilivyokuwa ada.

Ni siku ambayo tutakuwa tunafurahi kwa kupongezana kwa kufikia malengo yetu, ni siku ambayo tutakuwa tunafurahi na kutiana moyo kwa mambo ama mipango iliyopangwa ili iweze kutimia na mambo kama haya. Ki-ujumla itakuwa siku ya kupongezana, na kutiana hamasa.

Kauli mbiu iwe "KUKUTANA KWETU NI ZAIDI YA KUFURAHI"

Ni imani yangu kuwa wote mtaupokea ujumbe huu kwa hali chanya.

Hili ni wazo langu tu. Sijui wadau mnasemaje kwa hili?

Views: 1614

Reply to This

Replies to This Discussion

Majukumu yamezidi.. @ Alfan

Nitarudi badae kidogo.. teheee, tufahamishane mapema kabla tiketi za fastjet hazijapanda bei.. hahahaa @ Alfan

Hahahahahahahah..Usijali mkuu

Dixon Kaishozi said:

Nitarudi badae kidogo.. teheee, tufahamishane mapema kabla tiketi za fastjet hazijapanda bei.. hahahaa @ Alfan



Chui Mfalme said:
Kama bado na mm nimo.

chui
Hii hakuna ubishi kama kawaida tuko pamoja tunaisubiri siyo ifike tujumuike.

Reply to Discussion

RSS

© 2023   Created by Tulonge.   Powered by

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

/* \uascript type="text/javascript">\udinsert below header image\udif (typeof(x$) != 'undefined') {\ud var postHeaderImageAd = '\uadiv id="postHeaderImageAd ">\ua\ua/div>';\ud x$("#xg_masthead").after(postHeaderImageAd);\ud}\ud \uascript type="text/javascript">\ud insert below header image \udif (typeof(x$) != 'undefined') {\ud var postHeaderImageAd = '\uadiv id="postHeaderImageAd ">\ua\ua/div>';\ud x$("#xg_masthead").after(postHeaderImageAd);\ud}\ud /*