Habari wapendwa!
Wakubwa shikamoni (japokuwa sipendi kusema "shikamoo"-ila kwa leo si mbaya), Wadogo zangu kama Dismas, na Angela inabidi mniamkie mimi kaka yenu. Vinginevyo nitawachukulia hatua za kimila.
Nimekuwa na wazo ambalo nimeona si vibaya kulileta kwenu, kwani bila ya nyie hakuna litakalowezekana juu ya wazo langu hili.
The thing is! Oh sorry, ngoja niongee Swahili, swala lenyewe ni kwamba; Kwa sasa tunaelekea kufunga ama kuumaliza mwaka-sasa nimeona ni jambo jema iwapo tutakutana pamoja kwa ajili ya kusheherekea na kubadilishana mawazo kwa yote kwa kipindi chote ambacho tumekuwa pamoja. Ni matumaini yangu kuwa kila mmoja wetu angependa kumjua mwenzake "live" iwapo hajawahi kumuona "live". Nina amini kuwa ni jambo jema kwa watu kujamiiana, mfano mimi nilifurahi sana siku nilipojamiiana na Angela, aiseee.
Itakuwa ni wakati mwingine wa ku-restore friendship--lakini wakati tukifanya hilo, nisisitize jambo hapa. Wakati tupo pale kijiji cha jirani watu tulikuwa na umoja fulani ambao kwa namna fulani ulikuwa na manufaa makubwa. Lakini umoja ule umefifia kwa kiasi kikubwa sana. Sasa napenda kumuomba kila na mmoja wetu kujaribu kurudisha hali ile nzuri ya kupendeza iliyofanya tuwe zaidi ya marafiki.
Linapotokea jambo ambalo ni kawaida ku-share kwa misingi ya tamaduni zetu, na tufanye hivyo na tuwe tunamaanisha yale tunayoyasema.
Nisingependa kuongea mengi, kwani hii si makala bali ni mjadala. Kwa heshima na taadhima Nawasilisha kwenu wadau.
PamoJah!
Tags:
Hahahahahahah Chaoga acha hizo lazima tununuwe kuku wa kijiji kama kawaida kijijini hatufugi kuku wa wee 4
tunakimbiza kuku wa kienyeji atakamkamata wake pia nilikuwa na wazo kuhusu chakula kama kawaida ya wanakijiji kukiwa na sikukuu huwa wanakusanya vyakula kila nyumba kisha wote wanakaa pamojah na kula wote
so iweje wanakijiji cc tule tofauti? wazo langu tuandae chakula na maji au soda kwa pamojah kama m2 anataka maji ya ilala atatumia mfuko wake mwenyewe hayo nimawazo yangu na kama kaida ya wana vijiji wafanyavyo kwenye sherehe,sikukuu ktk mambo yote ya furaha.
Chaoga ndio tulikuwa tunasubiri atupe muongozo wa sehemu gani tulivu na amani itakayofaa kwa ajili ya shughuli yetu. Na ningemuomba Chaoga afanye hima ili kutupa taarifa mapema ya ni wapi tutakuwa kwa jili ya shughuli hiyo. Mengine tutahabarishana ndani ya wiki mbili hizi. Kingine ambacho ningeomba ni kwa kila atakayetaka kushiriki atoe taarifa uwepo wake. Ninaomba kila mmoja atende lile atakalohubiri, na isiwe kinyume.
Nina imani mambo yatakuwa mazuri zaidi!. nitafurahi sana kuwaona woote, hasa wale ambao sijawahi kuwaona.
kaka cha mbona uko kimya tunakusubili wewe muda unasonga, haurudi,
Hahahahahahah Chaoga acha hizo lazima tununuwe kuku wa kijiji kama kawaida kijijini hatufugi kuku wa wee 4
tunakimbiza kuku wa kienyeji atakamkamata wake pia nilikuwa na wazo kuhusu chakula kama kawaida ya wanakijiji kukiwa na sikukuu huwa wanakusanya vyakula kila nyumba kisha wote wanakaa pamojah na kula wote
so iweje wanakijiji cc tule tofauti? wazo langu tuandae chakula na maji au soda kwa pamojah kama m2 anataka maji ya ilala atatumia mfuko wake mwenyewe hayo nimawazo yangu na kama kaida ya wana vijiji wafanyavyo kwenye sherehe,sikukuu ktk mambo yote ya furaha.
Yani boni wazolako nila ukweli.. na siku yenyewe iangaliwe ili tuweze kuwasili na kurudi mikoani tutokako na kuendelea na kazi ya ujenzi wa taifa kama kawaida.. yani siku ambayo inaudhurika..
Bonielly said:
jamani itabidi muangalia mahali ambayo isiwe juu kihivyo maana naamini wengine watatoka nje ya dar, wasishindwe kufika, iwe sehemu ambayo ni saizi ya watanzania wote sio watanzania wachache,,,hilo ni wazo tu,,,,,
Hata mimi naunga mkono maoni ya Dixon. I hope wengi wataafiki hili ili kuweza kwenda sambamba na mawazo ya Dixon.
© 2022 Created by Tulonge.
Powered by