Tulonge

TUZUNGUMZE MAPENZI--NI SEHEMU ZIPI WANAUME/WANAWAKE WANAPENDWA KUGUSWA KABLA YA MCHEZO?

Wandungu, haina haja ya kujieleza sana kama vile ni maombi ya kazi ama kampeni za siasa ili upate ubunge ama urais. Kichwa cha habari kinajieleza, na bila kupoteza muda tuanze mjadala.

Asanteni sana!

Views: 4217

Reply to This

Replies to This Discussion

ngoja na mimi nisubiri wizara ya mambo ya chini tehee, niibie maujuzi.
 
Mama Malaika said:

Mkwe shukran kwa kuchangia, mie yangu macho nasubiria kusoma hiyo Wizara ya mambo ya Chini. Teh teh teh....
 
Chalii_a.k.a_ILYA said:

SEHEMU ZENYEWE NI KAMA HIZI ZIFUATAZO:

Mara nyingi wanawake hupenda kuguswa nywele zao na kuzichezea,kuchezea sehemu ya kiuno mitaa ile ya shanga,kupitisha ulimi kifuani kwake na juu ya maziwa na kuzigusa chuchu za maziwa.Maeneo kama hayo huwa ni nyeti sana kwa mwanamke (kunako hisia) na huwa ni rahisi kwa Mwanaume kuyatumia maeneo 2make her hot

Ama kwa wanaume,sijakosea nikisema kwamba hupenda sana kuchezewa au kuguswa ile sehemu inaitwa Garden(chest),wakipokea ile kitu tunaita:Feeling Kiss.

Hapo nimeelezea baadhi ya sehemu wapendazo kuguswa wanaume na wanawake,na nimezungumzia tu sehemu za juu tunazoziita: Wizara ya mambo ya juu,nikirudi nitazungumzia sehemu za chini maarufu kama:Wizara ya mambo ya Chini.

mmh mambo hayo

ehe

Sehemu zinajulikanwa bana

E
Endelea, tunasubiria Wizara ya mambo ya chini, tupeni mambo jamani
manka said:

ngoja na mimi nisubiri wizara ya mambo ya chini tehee, niibie maujuzi.
 
Mama Malaika said:

Mkwe shukran kwa kuchangia, mie yangu macho nasubiria kusoma hiyo Wizara ya mambo ya Chini. Teh teh teh....
 
Chalii_a.k.a_ILYA said:

SEHEMU ZENYEWE NI KAMA HIZI ZIFUATAZO:

Mara nyingi wanawake hupenda kuguswa nywele zao na kuzichezea,kuchezea sehemu ya kiuno mitaa ile ya shanga,kupitisha ulimi kifuani kwake na juu ya maziwa na kuzigusa chuchu za maziwa.Maeneo kama hayo huwa ni nyeti sana kwa mwanamke (kunako hisia) na huwa ni rahisi kwa Mwanaume kuyatumia maeneo 2make her hot

Ama kwa wanaume,sijakosea nikisema kwamba hupenda sana kuchezewa au kuguswa ile sehemu inaitwa Garden(chest),wakipokea ile kitu tunaita:Feeling Kiss.

Hapo nimeelezea baadhi ya sehemu wapendazo kuguswa wanaume na wanawake,na nimezungumzia tu sehemu za juu tunazoziita: Wizara ya mambo ya juu,nikirudi nitazungumzia sehemu za chini maarufu kama:Wizara ya mambo ya Chini.

kwangu;mashavu hufanya nimwite mama yangu  kwani hufanya 'nizimie'

Reply to Discussion

RSS

© 2023   Created by Tulonge.   Powered by

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

/* \uascript type="text/javascript">\udinsert below header image\udif (typeof(x$) != 'undefined') {\ud var postHeaderImageAd = '\uadiv id="postHeaderImageAd ">\ua\ua/div>';\ud x$("#xg_masthead").after(postHeaderImageAd);\ud}\ud \uascript type="text/javascript">\ud insert below header image \udif (typeof(x$) != 'undefined') {\ud var postHeaderImageAd = '\uadiv id="postHeaderImageAd ">\ua\ua/div>';\ud x$("#xg_masthead").after(postHeaderImageAd);\ud}\ud /*