Tulonge

Zile za kusimuliwa, Vp bado kuna zingine hujaacha mpaka leo na zinakuletea matatizo yoyote? Kama una mtoto je ameadapt tabia zako za utoto?

Views: 1254

Reply to This

Replies to This Discussion

We Tulonge niniwasiwasi kama umempiga mimba mmoja tu, mana wanaogopaga mabint utoton wanakuaga balaa wakikua. Mi mdogo wangu wakat anamiaka mitatu alikua hatak wanawake hata wamtanie na akawa anasema atajenga gorofa ndan kwake anataka wafanyakaz wanaume tu hatak kuonawake wanakatiza mbele yake, saiv anamiaka9 weee anajua had kuwachagua



Tulonge said:

Mimi nilikua sipendi kabisa wasichana, hata kukaa nao tu. Ila kwa sasa nimebadilika kidogo ndiyo maana nikamtandika mimba mmoja hahhhahahaaaaa.

Halafu nilikua nanyonya kidole kikubwa, sijui kilikua na utamu gani? ila niliacha zamani, siku hz sinyonyi teh teh teh

Watua mmepita pakubwaa, Boniely umenikumbusha kuvua na kuiba viaz nyanya na mchele, pind hicho 2naish kurasini 2naenda kuiba soko la shimo la udongo, muuzaj akiwa anapiga stor si ndo 2naiba pale, afu hatukamatwi.

2kaendaga kuvua zamkago kule watoto kibao 2kakutana na samak aina ya mkonge amekufa kaletwa namawimbi pemben mwa bahar wee kila m2 akajua nyoka 2likimbiaa.

Afu kichapo nimekichezea sana kutoka kwa mama. Mama kanipiga sana mana na hela zake nlikua namwibia afu nkijua napigwa natoroka nyumbani.

tehe tehe@ tulonge nilisoma na kijana mmoja hadi kidato cha 4 ananyonya kidole halafu alikuwa anakimbiza mbaya, cha kushangaza yeye alikuwa mwalimu akiingia darasani ndiyo ananyonya dole lake mpaka anajisahau akisemeshwa hasikii, msichana akienda kwenye dawati lake anahama yaani muoga wa wasichana.
 
Tulonge said:

Mimi nilikua sipendi kabisa wasichana, hata kukaa nao tu. Ila kwa sasa nimebadilika kidogo ndiyo maana nikamtandika mimba mmoja hahhhahahaaaaa.

Halafu nilikua nanyonya kidole kikubwa, sijui kilikua na utamu gani? ila niliacha zamani, siku hz sinyonyi teh teh teh

hahahaaa!! watu mmepita mengi sana, mimi nilikuwa muongeaji sana baba yangu alikuwa akiniita mabureka, pia nilikuwa siogopi kupigana japo nilikuwa napigwa, kitu ambacho sitakisahau nikiwa darasa la 4 nilinusurika kubebwa na mafuriko baada ya kutoroka shuleni na kwenda kuongelea mto mmoja unaitwa mto malala huko meru, uliopo barabara ya moshi, arusha, mama mmoja alikuwa akipita juu darajani aliniona akapiga kelele nikaokolewa, pia nilikuwa sipendi kutumwa nikitumwa lazima nisababishe mkasa, kitu ambacho kilifanya nikanuniana na mwalimu nikiwa darasa la tano akiingia darasani mimi natoka tunapishana mlangoni hadi kipindi chake kiishe ndiyo niingie, kisa alinituma maji nikayatemea mate wanafunzi wenzangu  wakanisemea akaniingiza kichwa   kabatini makalio yakabaki nje akanichapa viboko 72, nikamwambia sikupendi.

hahahaa @ alfani hao majamaa zako kama wanaendana na wangu, kwani akiona watoto wa kike anaanza kuwalilia, wa kiume wala hana habari nao.

Reply to Discussion

RSS

© 2023   Created by Tulonge.   Powered by

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

/* \uascript type="text/javascript">\udinsert below header image\udif (typeof(x$) != 'undefined') {\ud var postHeaderImageAd = '\uadiv id="postHeaderImageAd ">\ua\ua/div>';\ud x$("#xg_masthead").after(postHeaderImageAd);\ud}\ud \uascript type="text/javascript">\ud insert below header image \udif (typeof(x$) != 'undefined') {\ud var postHeaderImageAd = '\uadiv id="postHeaderImageAd ">\ua\ua/div>';\ud x$("#xg_masthead").after(postHeaderImageAd);\ud}\ud /*