Tags:
Kusema kweli kuna upuuzi umefanyika...ajali hii ingekuwa imetokea nchi zenye ustaarabu yaani wahusika wangejiuzulu mara moja...bongo watu wameanza uswahili! Watu wamepoteza maisha wengine wamepoteza mali zao na wengine wamebaki vilema wengine wamebaki wajane wengine wamebaki yatima.....yaani mtari utakuwa mrefu nikiendelea kutaja.
Yaani ukifikiria na kujiuliza unaweza kuweka gas tube mchagoni unapolala?
Vifaa vya vita/silaha huwezi ukaweka karibu na watu wanapoishi. Huo ni upuuzi mtupu!
Kwa ajili ya mtu na akili yake fupi angalia watu walivyopata shida!
Na walaani sana watu wenye tabia hizi1
© 2023 Created by Tulonge.
Powered by