Tags:
Kaka ile inaitwa Vasovagal Syncope au Vasovagal Response.
Syncope husababishwa na low blood pressure inayosababisha damu kuwa chache kwenye ubongo.
hii husababishwa na mtu KUSIMAMA KWA MUDA MREFU, EMOTIONAL STRESS( sehemu ya joto na watu wengi)
kulala kitandani kwa muda mrefu,arousal or stimulation ie SEX,km vile wanawake wanavyozimia akishapiga bao nafikiri umeshwahi kusikia hii.
Sababu nyingine ni Kucheka sana,kusimama kwa ghafla unapokuwa umekaa chini au kulala,kumeza kitu kwa haraka, NJAA, kichefuchefu na kutapika, wakati wa kukojoa(nafikiri umeshwahi kusikia mtu ameanguka chooni,amezimia wakati anakojoa), kuoga maji ya baridi sana less tha 10 Degree Celcius, kuona damu nyingi au mtu kushuhudia ajali na kuona watu wamekatikakatika, ukiwa kileleni sn juu ya mlima nk.
INAKUWAJE??? Km mtu amepatwa na moja au zaidi ya sbb zilizotajwa hapo juu,ubongo unajibu kupitia NUCLEUS TRACTUS SOLITARIUS ambayo yenyewe inasababisha parasympathetic activity ya Tenth Cranial Nerve (VAGUS NERVE mshipa wa fahamu namba kumi kutoka kwenye ubongo) na ndo maana ikaitwa Vaso-vagal syncope,yaani VASO--ni Blood vessel,na Vagal--ni vagus nerve.Mshipa huu wa fahamu unapeleka na kurudisha fahamu toka maeneo ya shingo,kifua na kiwiliwili yaani kooni,moyo,mapafu, mrija mkubwa wa damu wa kiwiliwili (Abdominal Aorta) ,tumboni , nk.Kwa hiyo hii Solitary Nuclear ya ubongo inapokuwa activated yenyewe inatuma ujumbe kwa mrija mkubwa wa damu (Aorta) kupitia hii VAGUS NERVE,na kuuambia kuwa utanuke na kufanya damu nyingi kwenda maeneo ya kuanzia kifuani mpaka miguuni na kusababisha damu chache kwenda ubongoni hivyo kumfanya mtu azimie kwa kukosa damu ya kutosha kwenye ubongo na hivyo huanguka.
Hii haihitaji dawa mtu akinguka,jaribu kumlaza chali kwa dkk kadhaa atarudi km kawaida au kama inachukua muda basi jaribu kunyanyua miguu yake kwa juu na utengeneze nyuzi 90 kati ya kiwiliwili na miguu(kama vile unamvalisha mtoto aliyelala kitandani nguo/nepi au kwa wale wanaojua,jinsi ya kumvua mschana Jeans akiwa amelala kitandani lazima anyanyue miguu kwa juu kidogo) Hii husaidia damu kurudi kichwani kwa urahisi na hapo mgonjwa atakuwa amepata nafuu.
Kwa hiyo ile iliyompata mheshimiwa mimi naamini ni hii VASOVAGAL SYNCOPE ambayo ni kitu cha kawaida sana kwa watu wanaofanya kazi sana kwa sababu ya uchovu au kusimama mbele ya watu wengi au NJAA.
Nashukuru kaka.Syncope inasababishwa na damu kuwa chache ubongoni,kwa hiyo km inatokea mtu amepatwa na tatizo hilo lkn likaisha ndani ya "Reperfusion time window" basi mtu ata-recover completely hata km itatokea mara tatu kwa mwezi si tatizo.Kinachoangaliwa ni kwamba ubongo haujaathirika.
Reperfusion time window ni muda ambao chembechembe za ubongo zinaweza kustahamili kabla hazijafa(Infarction) kwa kukosa Oxygen na Glucose.Na muda huu hauzidi dakika tano,kwa hiyo kama ubongo ukikosa damu kwa zaidi ya dakika moja mtu huwa anazimia lkn ataweza kunyanyuka na kuwa katika hali ya kawaida lakini ikiwa ni muda mrefu inasababisha cells za ubongo kufa(Cerebral Infarction a.k.a stroke) ambazo baadae husababisha matatizo makubwa katika ubogo.
Cha maana hapa ni kuangalia ni kitu gani kilichosababisha hiyo SYNCOPE kwa Mheshimiwa Rais,km sababu itakuwa ni miongoni mwa nilizozitaja hapo mwanzo basi hata kama imemtokea mara kumi haina tatizo ilimradi tu kila inapotokea awe anapata fahamu ndani ya "Reperfusino Time Window".Lakini kama kuna sababu nyingine kwa mfano matatizo ya moyo(Yaani Moyo unashindwa kusukuma damu vizuri kwenda kwenye ubongo) au Cerebral embolism(yaani kama kuna mafuta kwenye mirija ya damu ya ubongo au uvimbe nk) basi anahitaji tiba ya magonjwa hayo kwa maana Syncope inaweza kusababishwa na ugonjwa au Normal physiological mechnism ya mwili.Ili kutibu inabidi utibu ugonjwa(kama imesababishwa na ugonjwa) au km imesababishwa na mambo ya kawaida ya kila cku kama uchovu basi unatakiwa kupumzika,kama ni joto basi ukakae kivulini,kama njaa ukale,kama umeshtushwa basi ulale nk,yaani uondoe ile sababu tu then mtu atakuwa ok.
Kwa hiyo tukizungumzia kilichomtokea Mheshimiwa yaani SYNCOPE kwa mtazamo wangu naona ni kawaida tu na hakina matatizo yoyote.Labda swali litakuja juu ya kilichosababisha(kama ni uchovu na njaa tu au ugonjwa wa moyo au ubongo),lkn pia naamini hakuna tatizo kwa sababu kama angekuwa na matatizo makubwa Madaktari wake wasingemshauri kuendelea na kazi ngumu kama anazofanya sasa.Na ikumbukwe pia kama ingesababishwa na magonjwa ya ubongo asingeweza kunyayuka ndani ya dakika tano, huwa inachukua mpaka masaa24,na kama ingekuwa moyo pia ingechukua muda mrefu mpaka kunyanyuka na asingeweza kuendelea na kile alichokuwa akikifanya.
Nafikiri umenipata kaka,kama kuna mahali hujaelewa let me know.
Mungu humuonesha binadamu ni kitu gani kinaweza tokea mbele, kwa kutumia ishara. Ndo mana kuna wakati unaweza taka kutoka kwako, moyo ukawa unasitasita, na mara nyingi ukiukaidi au kupuuza zile hisia, lolote linaweza tokea, kule unakokwenda au kule ulikotoka. Mwaka 1995, Mwalimu Nyerere, alimkataa KIKWETE kwa kisingizio kuwa umri wake ni mdogo, lakini ile haikuwa sababu, Mwalimu aliona mbali sana juu ya mtu huyu. Mwaka 2000 ni huyu huyu Kikwete aliyeanguka pale Jangwani katika kampeni zake, kipindi hiki tena ameanguka, zote hizi zilikuwa ishara tulizopewa na tunazoendelea kupata kuwa mtu huyu hafai. bado wa Tanzania hawatumii ishara hizi kuzinusuru. Tatizo wengi wana masikio lakini hawasikii, wana macho lakini hawaoni.
Mwenye macho aone na mwenye masikio asikie
CHA 29:7 na kuendelea.
Kaka nashukuru sana kwa kunielewesha na kunifumbua macho, sasa ninaona. Tunafurahi sana kuwa na watu muhimu kama wewe hapa kijijini kwetu.
ahmad kombo said:Nashukuru kaka.Syncope inasababishwa na damu kuwa chache ubongoni,kwa hiyo km inatokea mtu amepatwa na tatizo hilo lkn likaisha ndani ya "Reperfusion time window" basi mtu ata-recover completely hata km itatokea mara tatu kwa mwezi si tatizo.Kinachoangaliwa ni kwamba ubongo haujaathirika.
Reperfusion time window ni muda ambao chembechembe za ubongo zinaweza kustahamili kabla hazijafa(Infarction) kwa kukosa Oxygen na Glucose.Na muda huu hauzidi dakika tano,kwa hiyo kama ubongo ukikosa damu kwa zaidi ya dakika moja mtu huwa anazimia lkn ataweza kunyanyuka na kuwa katika hali ya kawaida lakini ikiwa ni muda mrefu inasababisha cells za ubongo kufa(Cerebral Infarction a.k.a stroke) ambazo baadae husababisha matatizo makubwa katika ubogo.
Cha maana hapa ni kuangalia ni kitu gani kilichosababisha hiyo SYNCOPE kwa Mheshimiwa Rais,km sababu itakuwa ni miongoni mwa nilizozitaja hapo mwanzo basi hata kama imemtokea mara kumi haina tatizo ilimradi tu kila inapotokea awe anapata fahamu ndani ya "Reperfusino Time Window".Lakini kama kuna sababu nyingine kwa mfano matatizo ya moyo(Yaani Moyo unashindwa kusukuma damu vizuri kwenda kwenye ubongo) au Cerebral embolism(yaani kama kuna mafuta kwenye mirija ya damu ya ubongo au uvimbe nk) basi anahitaji tiba ya magonjwa hayo kwa maana Syncope inaweza kusababishwa na ugonjwa au Normal physiological mechnism ya mwili.Ili kutibu inabidi utibu ugonjwa(kama imesababishwa na ugonjwa) au km imesababishwa na mambo ya kawaida ya kila cku kama uchovu basi unatakiwa kupumzika,kama ni joto basi ukakae kivulini,kama njaa ukale,kama umeshtushwa basi ulale nk,yaani uondoe ile sababu tu then mtu atakuwa ok.
Kwa hiyo tukizungumzia kilichomtokea Mheshimiwa yaani SYNCOPE kwa mtazamo wangu naona ni kawaida tu na hakina matatizo yoyote.Labda swali litakuja juu ya kilichosababisha(kama ni uchovu na njaa tu au ugonjwa wa moyo au ubongo),lkn pia naamini hakuna tatizo kwa sababu kama angekuwa na matatizo makubwa Madaktari wake wasingemshauri kuendelea na kazi ngumu kama anazofanya sasa.Na ikumbukwe pia kama ingesababishwa na magonjwa ya ubongo asingeweza kunyayuka ndani ya dakika tano, huwa inachukua mpaka masaa24,na kama ingekuwa moyo pia ingechukua muda mrefu mpaka kunyanyuka na asingeweza kuendelea na kile alichokuwa akikifanya.
Nafikiri umenipata kaka,kama kuna mahali hujaelewa let me know.
Mungu humuonesha binadamu ni kitu gani kinaweza tokea mbele, kwa kutumia ishara. Ndo mana kuna wakati unaweza taka kutoka kwako, moyo ukawa unasitasita, na mara nyingi ukiukaidi au kupuuza zile hisia, lolote linaweza tokea, kule unakokwenda au kule ulikotoka. Mwaka 1995, Mwalimu Nyerere, alimkataa KIKWETE kwa kisingizio kuwa umri wake ni mdogo, lakini ile haikuwa sababu, Mwalimu aliona mbali sana juu ya mtu huyu. Mwaka 2000 ni huyu huyu Kikwete aliyeanguka pale Jangwani katika kampeni zake, kipindi hiki tena ameanguka, zote hizi zilikuwa ishara tulizopewa na tunazoendelea kupata kuwa mtu huyu hafai. bado wa Tanzania hawatumii ishara hizi kuzinusuru. Tatizo wengi wana masikio lakini hawasikii, wana macho lakini hawaoni.
Mwenye macho aone na mwenye masikio asikie
CHA 29:7 na kuendelea.
Jamani mnaandika maneno mengi sana wengine wavivu kusoma!!!!!!!
© 2021 Created by Tulonge.
Powered by