Tulonge

UNGEPEPATA MUDA WA KUMUULIZA MASWALI MATANO NELSON MANDELA UNGEMUULA MASWALI GANI?

Alizaliwa 18 July 1918 na kufariki 5 December 2013 akiwa na umri wa miaka 95. Amekuwa  Rais wa Afrika Kusini kwa miaka minne tu yaani toka 1994-1999.

Nilibahatika kumuona Nelson Mandela alipokuja Tanzania--wakati huo akiwa na Julius Nyerere pale uwanja wa Taifa, Dar Es Salaam. Alikuwa akipunga mkono akiwa katika gari ya wazi pamoja na Nyerere.

Inawezekana wengi wenu hamjabahatika kumuona moja kwa moja--Ila iwapo mngebahatika kumuona na kupata nafasi ya kumuuliza maswali, ni maswali gani matano ambayo mngemuuliza Mzee Madiba?

Views: 542

Reply to This

Replies to This Discussion

MImi nadhani hata mdau angekua na swali moja la kumuuliza alitupie hapa.Maana najua kuna baadhi ya wadau maswali matano ni mengi sana. Ila kama mtu ana maswali matano atupie tu. Mtu kama Severin kwa vyovyote hawezi kuwa na maswali matano kwa mwana siasa teh teh

Sijapata bahati hata ya kumuona kwa maco tu!! Ila kama ningebahatika kumuuliza swali.. lingekua... Baada ya kutangazwa kuwa raisi wa kwaza mweusi africa kusini... alifikiria kuwafanya nini wale wote walio mfunga miaka 27 jela na walio mpinga kipindi chote cha kupigania uhuru ?.... hilo swali lingejibu mengine ma4..

Baada ya mtu mzalendo kama yeye afrika kabaki nani?

Reply to Discussion

RSS

© 2023   Created by Tulonge.   Powered by

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

/* \uascript type="text/javascript">\udinsert below header image\udif (typeof(x$) != 'undefined') {\ud var postHeaderImageAd = '\uadiv id="postHeaderImageAd ">\ua\ua/div>';\ud x$("#xg_masthead").after(postHeaderImageAd);\ud}\ud \uascript type="text/javascript">\ud insert below header image \udif (typeof(x$) != 'undefined') {\ud var postHeaderImageAd = '\uadiv id="postHeaderImageAd ">\ua\ua/div>';\ud x$("#xg_masthead").after(postHeaderImageAd);\ud}\ud /*