Tags:
Asante kwa taarifa hiyo mkuu, itakua ni vizuri kunijuza juu ya watu hao pia ili ni wa block.Wakati mwingine huwa wananikwepa sababu wamehisi mimi ni admin hapa, hivyo huwa hawanitumii hizo msg zao. Wengi wao huwa nawastukia na kuwa-block. Tupo pa1 man
hata mimi ninae mmoja nachati nae kila siku kanitumia picha zake na contacts nimemstukia muda mrefu anataka hela kabugi men
Ila sidhani kama yupo hadi sasa, nonahisi nilisha mpiga chini.Sijamuona
kaka hajanitumia mail tena nilimwambia sina pesa za kumlipa lawyer wake eti aandae power of attorney and certificate of oath nilimpiga chini nilianza kujua alikokua anaelekea muda wote wa majadiliano.Anaitwa Fafa baby yuko refugees camp Dakar hawana maana wanamaelezo mazuri watu wataibiwa
Tulonge said:
Ila sidhani kama yupo hadi sasa, nonahisi nilisha mpiga chini.Sijamuona
Asante kwa taarifa hata me nimekutana nao wote hao kina baby love na huyo wa thailand.But nilipo waambia me mwanafunzi hawajanitumia tena email...Kazi kwelikweli
huyo msenegal alisha nitokea hata mimi, kipindi hicho nipo chuo nikawauliza wenzangu nao wakasema alisha watokea, nikamuacha afanye yote ilipo fika mda wa malipo nika mwambia hako kamchezo nakajua vema, hakunifuatilia tena.
© 2023 Created by Tulonge.
Powered by