Tulonge

BAADHI YA WAHITIMU WA KIDATO CHA NNE MWAKA JANA WAKIWA DARASANI KATIKA SHULE MOJA JIJINI DSM;
Ticha: Ni nani aliyemuua Chifu Mkwawa?
Dent 1: Siyo mimi....
Dent 2: Mi wala sihusiki....
Dent 3: Kwanza mimi jana sikuja shule.....
[Ticha alipoona kuwa wanafunzi wote ni majuha, akaamua kumuita Mkuu wa Shule. Mkuu akawauliza swali lile lile na mambo yakawa vile vile. Ndipo Mkuu alipomwita mwalimu pembeni na kumnong'oneza; "LAKINI UNA UHAKIKA MUUAJI YUPO DARASA HILI?"

Views: 1075

Replies to This Discussion

ha ha ha ha ndio maana matokeo ya mwaka huuu round about ziko nyingi...

Mwalimi wa somo alitaka kuwaonea watoto wa watu wakati hawaakuhusikia na kifo cha Mkwawa.Mbaya zaidi na Mwl Mkuu ni zezeta vile vile hahaahahahahaaaaaaaa

Hahahahahaaaaaaaaaaaaaa @ Chaoga, round abaut.

Ha haa haa haa... Chaoga wewe hatari.

Dismas... iwapo Mwl Mkuu ni zezeta unategemea watoto wangejuaje? Ha haa haa haa haa

Ndomaana 60% wakataga kwenye matokeo ya form IV

ha haa haaa.watoto wanashinda facebook wataacha kufeli.

Teh teh mwalimu alitaka kuwasingizia watoto wa watu, kumbe na wao wajanja wakamkatalia.

Hahahahahahahahaha mwalimu weeeeeeeeee

RSS

© 2023   Created by Tulonge.   Powered by

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

/* \uascript type="text/javascript">\udinsert below header image\udif (typeof(x$) != 'undefined') {\ud var postHeaderImageAd = '\uadiv id="postHeaderImageAd ">\ua\ua/div>';\ud x$("#xg_masthead").after(postHeaderImageAd);\ud}\ud \uascript type="text/javascript">\ud insert below header image \udif (typeof(x$) != 'undefined') {\ud var postHeaderImageAd = '\uadiv id="postHeaderImageAd ">\ua\ua/div>';\ud x$("#xg_masthead").after(postHeaderImageAd);\ud}\ud /*