MOSHI = Mungu- Onyesha- Sehemu- Hela- Ilipo.
HIMO = Hata- Ikipungua- Mungu- Ongeza.
MARANGU = Mungu- Angalia- Raia- Ngawira- Utuhakikishie.
MAMBA = Mungu- Ahidi- Mapesa- Bila- Ajila.
MWIKA = Mungu- Wekeza- Ishara- Kwenye- Akaunti.
KILEMA = Kristu- Imarisha- Leo- Elimu na Mapesa- Akauntini.
KIRUA = Kristu- Imarisha- Riziki- Ujaze- Akaunti.
URU = Usitunyime- Riziki- Uchumi.
KIBOSHO = Kila- Ikipungua- Baba- Ondoa- Siasa- Hela- Ongeza.
MACHAME = Mungu- Atupe- Chanzo- Halisi- Ambacho- Mapesa ni Endelevu.
KISHIMUNDU = Kwetu- Ikikosekana- Shilingi- Mungu- Nakuapia- Dunia- Utaichukia.
Tags:
Unautani na watu wa huko wewe Chibiriti hahahhhahaaaaa
Shemeji zangu.
hawa watani wangu ikiangusha funguo tu kwenye daladala utasikia heraangu hiyo aiseee
hahahaaaaaahaa!!! wewe CHIBIRITI WEWE, unaleta utani aisee.
@ Olivia, wewe mchaga nini? Wachaga shemeji zangu, nimeolea huko uchagani.....hivyo hawanifanyi kitu, kwani sio kweli wanapenda hela?
© 2021 Created by Tulonge.
Powered by