Tulonge

Malangali High School Alumni

Information

Malangali High School Alumni

Hili ni kundi la kuwakutanisha wale wote waliosoma Malangali High School Iringa ili kutuweka karibu zaidi kwa ajili ya kupeana habari mbali mbali muhimu,pia kukumbushana yale ya kipindi ile tukiwa skuli.

Members: 21
Latest Activity: Aug 3, 2013

Taswira za Malangali Secondary kwa sasa(2012)

Hii ndiyo njia ya kuingia shule toka barabarani

Ofisi ya Posta ya shule

Miti iliyo pandwa kando kando ya viwanja vya michezo



Naona Bweni la Mwaisela B na Mkwawa kwa mbali.Nasikia ile cube ya Mkwawa iliyobatizwa jina "White House" mwaka 2000, hadi leo hii jina hilo limedumu.

Discussion Forum

Kikao kikubwa cha Wana Malangali Sekondari tar 04/08/2013

Started by Tulonge. Last reply by jacquerin gideon makoyola Aug 3, 2013. 1 Reply

Napenda kuchukua fursa hii kukumbusha kuwa trehe 04/08/2013 kuanzia saa 8:00 mchana kutakua na kikao kikubwa na muhimu cha Wana Malangali Sekondari kitakachofanyika Landmark Hotel Ubungo Dar es…Continue

Taarifa kuhusu kuugua kwa Mwalimu Nyaulingo

Started by Tulonge May 13, 2013. 0 Replies

Jana nimepokea taarifa toka kwa katibu wa wana Malangali (Agnes Nyakunga), kuwa Mwalimu NYAULINGO…Continue

Mazishi ya Ndugu yetu Frank Maige katika picha leo

Started by Tulonge Apr 4, 2013. 0 Replies

Frank Maige alisoma Malangali High School 2001-2003. Alifariki tarehe 1 Aprili 2013 baada ya kupooza sehemu ya mwili. Zifuatazo ni baadhi ya picha za shughuli ya mazishi yake toka hospitali ya…Continue

Taswira ya Malangali Secondary School kati ya mwaka 1973-1975

Started by Tulonge. Last reply by Tulonge Jun 5, 2012. 1 Reply

Parade, kumbe ilikua ni mwendo wa kaptura tu kama shule ya msingi.…Continue

Comment Wall

Add a Comment

You need to be a member of Malangali High School Alumni to add comments!

Comment by Agnes Nyakunga on April 3, 2013 at 10:00

lakini kaka Anangisye ni vema mkatuma  ujumbe kwa njia ya cmu na imani tulishawahi kukutana wana malangali na wakaacha contatc zao.

Comment by ANANGISYE KEFA on April 2, 2013 at 19:12

kwa wanamalangali wote, siku ya jumamosi tarehe 6/4/2013 tunatarajia kuwa na kikao cha wanafunzi wote waliowahi kusoma shule ya sekondari malangali pale chonya inn ubungo river side kuanzia saa 8:00 mchana. ukiwa mwanamalangali unakaribishwa bila kukosa, uwepo wako ndio mafanikio ya kikao hiki.

Comment by Agnes Nyakunga on June 5, 2012 at 10:24

imenikumbusha mbali sana nakumbuka hapo katika kibao cha shule niliwahi piga picha ngoja nikaitafute kwa kweli!

Comment by Tulonge on June 5, 2012 at 0:42

Nikiangalia hizo picha nakumbuka mbali sana aisee. Daah! ningeweza rudisha miaka nyuma ningefanya hivyo.

Comment by Phoady Ngoloka on February 19, 2012 at 18:55
Wadau ile du sitoisahau shule iliwaka moto daa! Suspect wa ushoga kachapwa mbakora nne tu lakini watu kadhaa walipata suspension. Skuli yetu hivi sasa haina jipya zuri.
Comment by Remmy Benson Mganga on September 2, 2011 at 12:39
Jamani mwenye data za huyo mwenye dogy dogy na kama sikosei Mpangala...yupo pande zipi?
Comment by Agnes Nyakunga on May 12, 2011 at 10:45
Wana malangali naona wako busy sana tuamke jamani tuikumbuke shule yetu
Comment by Twaha Mtengera on May 12, 2011 at 10:21
hatujalala wana MGL ila wadau tu watupo serious hebu tuamke kidogo.Dan Chongolo usijali Mtesa Mkunja ndugu yangu wa damu nitamwamsha tho yuko busy sana coz ana route za Dar-Zambia.pamoja saana
Comment by daniel chongolo on April 8, 2011 at 9:52
Moderetor kuna umuhimu wa kuhakikisha tunaanzisha utaratibu mwingine rahisi wa FB SMS ili kufanikisha zoezi hili, maana kwa mtandao yaonesha watu wamekuwa wavivu kidogo. au busy sana.,
Comment by daniel chongolo on April 8, 2011 at 9:50
Hivi ni kweli kwamba akina Nyavanga, Mtesa Mkunja, Emmanuel Kusunya, Geofrey Ng'umbi, Kibamba wote wawili, George Berege, Galus Antony, Deus Chapaulinchi, Remmy Nindi, Mng'ong'o, Visent Mtavangu, Neema Adrian, Epson Luhwago, Muyenzi, na wengine wengi hawapatikani ili kuendeleza mawasiliano haya muhimu ya wanazuoni kutoka Malangali High School?
 

Members (21)

 
 
 

© 2023   Created by Tulonge.   Powered by

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

/* \uascript type="text/javascript">\udinsert below header image\udif (typeof(x$) != 'undefined') {\ud var postHeaderImageAd = '\uadiv id="postHeaderImageAd ">\ua\ua/div>';\ud x$("#xg_masthead").after(postHeaderImageAd);\ud}\ud \uascript type="text/javascript">\ud insert below header image \udif (typeof(x$) != 'undefined') {\ud var postHeaderImageAd = '\uadiv id="postHeaderImageAd ">\ua\ua/div>';\ud x$("#xg_masthead").after(postHeaderImageAd);\ud}\ud /*