Kuna dalili nyingi ambazo zinajitokeza, lakini ukiona zaidi ya dalili mbili zinajitokeza kuna uwezekano mkubwa wa kitu kinachoendelea nje ya mahusiano yenu au ndoa yenu.
Maumbile
Viungo vya uzazi
Viungo vya mahusiano vya mwanamke kwa kawaida bila kuwa na matumizi ya mara kwa mara au muda mrefu husinyaa misuli yake, lakini inapotokea kuonekana mnapokutana amekuwa ni sawa na mlango wa kuingilia tembo wakati ulipokutana naye mara ya mwisho au mazoea ya kukutana alionekana kuwa na sawa ule mlango wa tundu la sindano lisilopenyeka kirahisi. Ujue anamahusiano nje yako.
Matiti
Kwa kawaida maembe huwa laini yanaposhikwashikwa, na pale yasiposukuwasukwa huwa magumu, na itokeapo huna mahusiano labda kwa safari au malezi ya mtoto na vinginevyo na kisha kukuta hali hiyo ujue kuna big baby anayetumia.
Mitindo na mazoea ya mahusiano
Pale inapojitokeza madai yasiyo ya kawaida kufanywa na kwamba bila hivyo hajisikii vizuri, jambo ambalo hakuzoea, na inapotokea anaonekana kama mzoefu wa mtindo huo, ni dalili tosha kwamba kuna anayemzoesha hayo huko aendako.
Watoto wadogo husaidia kutoa siri
Kumchongea mama kwa baba ingawa anachoongea huwezi kuelewa
Inapotokea kama ana mtoto basi baba anaporudi utaona hata kama ni mtoto wa umri wa miaka miwili na nusu and up anaonekana kuongea mambo ya kukueleza baba kwa mkupuo uanapofika tu kana kwamba anamchongea mama yake jambo ambalo halijazoeleka, mtoto anapoongea hivyo utamwona mama yake anamwangalia kwa makini sana ujue kuna kitu mtoto anakiona kisicho cha kawaida kinachofanywa na mamake.
Kushtuka na kulia amwonapo mtu anayehusiana na mamake pengine kabla haya akumwogopa
Kwa kawaida mtoto mdogo anaposhuhudia mtu asiye baba yake akifanya mambo hayo kwa mama yake anafikiri anamwadhibu, na kwa kawaida kama ni mtu wa karibu anapotembelea nyumbani utashtukia mtoto analia sana anapomwona mtu huyo humwogopa na kumkimbia, kitu ambacho si cha kawaida kwake, pengine anaweza akamfananisha na mtu anayemwona mara nyingi katika shuhguli hiyo, hata hivyo watoto makini sana kwa kunasa sura ya mtu kwa kawaida hawakosei.
Kutopenda kuondoka na mtoto
Inapotokea mtoto kuonyesha dalili hizo mama anaanza kuwa na mazoea ya kutopenda kutoka na mtoto anapoenda matembezini au shopping, hii ina maana kuendelea kuwa na mtoto pengine anavuruga malengo yake na watu wake. Ikumbukwe kwamba kabla hakuona shida kuondoka na mtoto ko kote aendako.
Kanisani au msikitini
Pamoja na kuwa na mazoea ya kwenda kanisani na kuwa mcha Mungu, inatokea hasa kwa wakristo wakatoliki au waanglikana wenye mazoea ya kushiriki komunyo anaanza kutoshiriki bila sababu za msingi. Baada ya hapo anaanza kutoshiriki ibada na moja kwa moja dhamiri inakufa kabisa hahudhurii kanisani, ni dalili tosha kwamba dhamiri inamshtaki na hivyo ameona bora kuendelea kujiburuza matopeni.
Kuondoka bila kuaga aendako
Kwa kawaida watu wanaoishi pamoja wanakawaida ya kuagana wapi mwenzake anaenda na iwapo inapotokea tatizo rahisi kufuatilia maelekezo aliyotoa kwamba wapi anaenda. Lakini ghafla utaona hapendi kabisa kuaga na pengine anakuwa na kawaida ya kuondoka ghafla kabisa na ukimwuliza anakuwa mkali na anakuambia tu naenda mahala nitarudi na hataki kumchukua mtoto. Ujue kuna kitu kinachoendlea huko aendako.
Zamu za kazi za usiku hasa manesi na wanajeshi
Wenye zamu za usiku inaweza kutokea maelezo ya overtime za mara kwa mara usiku. Ukivinjari maeneo ya kazi kutembelea kuona kama yupo kazini au la utakuta kama ana gari haionekana eneo la kazi. Jaribu kuulizia uongozi unaona wanashangaa kwamba mbona yuko off duty. Hapo kuna kinachoendelea juu ya paa la nyumba nyingine.
Vurugu nyumbani
Ugomvi usioisha wa mara kwa mara, pengine unaweza kushangaa hata sababu haieleweki na anazua jambo tu la ugonvi ujue kuna kitu kinamwasha anamkumbuka mshikaji wake wa huku nje ujuavyo waswahili husema vya wizi vitamu zaidi kuliwa kuliko vya mazoea.
Dalili baada ya kutoka kufanya ufuska
Anaonekana kuwa mchovu.
Via: tuangaze blog