Kitu chochote ukitaka ukifanye ukiwa na raha,ni lazima ukiandae vizuri..
Katika suala la mapenzi, watu wengi wameshindwa kufikia kilele cha raha kwa kutoelewa ni jinsi gani wawaandae wapenzi wao..
Tatizo hili lipo pande zote wanaume na wanawake..
Lakini kwa kiwango kidogo wanaume wanajitahidi kuwaandaa wapenzi wao kabla ya kuingia uwanjani.
Baadhi yao wanatambua sehemu za kuamsha hisia za wapenzi wao na wengi hawajui kabisa..
Mnapoandaana vizuri kabla ya mechi kuna wasaidia wote kuingia uwanjani huku akili na mwili vimechangamka kwa hisia kali za mahaba..
Kwa mwanamke inamsaidia asiweze kuchubuka wakati wa tendo kwa sababu sehemu zake za siri zitakuwa tayari zimelainika..
Pia huwasaidia kusogeza hisia zao karibu kwani wanawake wengi hisia zao huwa ziko mbali, ndio sababu wengi wao huwa hawafikii mshindo kwa sababu ya kukosa wanaume wanaojua kuandaa vizuri.
JINSI YA KUMUANDAA MPENZI WAKO:
NB: Kumbuka usiwe na haraka katika kumuandaa mpenzi wako...
via: msema kweli blog
Tags:
© 2021 Created by Tulonge.
Powered by