Mapenzi ni moja kati ya mambo yaliyo tawala sana katika ulimwengu huu kwa sasa. Hatuna budi kuchukua nafasi hii ili tuweze kubadilishana mawazo kuhusu mapenzi.
Members: 78
Latest Activity: Dec 1, 2014
Started by Lilian. Last reply by david ngoiya Dec 1, 2014. 1 Reply 0 Likes
Kabla ya kuanza najua wale wanaume wenye vibamia watachukizwa na kuiponda mada hii. Ila huu ndiyo ukweli, wanawake tuliowengi huwa…Continue
Started by Tulonge Dec 31, 2013. 0 Replies 0 Likes
What makes men cheat? Dr Kamal Khurana,relationship counselor, dug through past research on male infidelity, and has even counseled couples…Continue
Started by Tulonge. Last reply by Bonielly Dec 23, 2013. 1 Reply 0 Likes
Kitu chochote ukitaka ukifanye ukiwa na raha,ni lazima ukiandae vizuri..Katika suala la mapenzi, watu wengi wameshindwa kufikia kilele cha…Continue
Started by Tulonge. Last reply by Bonielly Nov 27, 2013. 1 Reply 0 Likes
Kuna mambo kadhaa ambayo msichana anatakiwa kuwa makini nayo katika kuhakikisha uchumba wake unadumu na kufikia hatua ya kuolewa na kwenda…Continue
Started by Lilian. Last reply by Bonielly Nov 25, 2013. 4 Replies 1 Like
Katika hali ya kawaida kufanya mapenzi kuna faida nyingi, lakini linapokuja suala la kuzidi kiasi tunapata matatizo ya msingi ambayo huleta…Continue
Started by Tulonge. Last reply by Dixon Kaishozi Nov 5, 2013. 1 Reply 1 Like
Kuna dalili nyingi ambazo zinajitokeza, lakini ukiona zaidi ya dalili mbili zinajitokeza kuna uwezekano mkubwa wa kitu kinachoendelea nje ya mahusiano yenu au ndoa yenu. MaumbileViungo vya uzaziViungo vya mahusiano vya mwanamke kwa kawaida bila…Continue
Started by Lilian. Last reply by Lilian Oct 6, 2013. 4 Replies 1 Like
Wataalamu wa maswala ya mahusiano wanaamini kwamba, mwanamke anapotoka nje ya ndoa yake, inakuwa rahisi sana kubainika au kufumaniwa kuliko…Continue
Started by Joan. Last reply by Mama Malaika Oct 3, 2013. 8 Replies 1 Like
Utafiti umeonyesha baadhi ya vitu vilivyosababisha ndoa za babu zetu zidumu ilikuwa babu na bibi kulala pamoja kwenye vitanda, ngozi za wanyama au mikeka yenye ukubwa usiozidi futi 2.5. Umbali wa futi 2.5 uliwawezesha wanandoa kuwa pamoja na…Continue
Add a Comment
Ndiyo nimefahamu leo kuwa kuna aina mbili ya mbegu za kiume.
1. Zenye radha ya sukari
2. Zenye radha ya chumvi
-Wataalamu wanasema bora zaidi ni zile zenye radha ya sukari,ambazo humfanya mwezi wako ajisikie raha zaidi wakati wa mechi.
-Namesikia kuna njia ya kufanya uwe na mbegu zenye radha ya sukari.Anaye fahamu njia hizo atujuze.
gratious yeye anakaribisha warembo tu,
Wakunipokea jamani...
Georgia...karibu pitiliza hadi uhani, ndo kuna mkeka huko! tehtehteh!!
Hodiiiiiiiiiiii mpaka ndani
Jamani hodi hapaaa!
Jamani nimechungulia dirishani nikaona humu kuna vitu ambavyo kwa njia moja au ingine vinanihusu kama vile pumzi ninayovuta.
Natumaini sitahesabiwa kama ni ""gatecrasher""!
© 2021 Created by Tulonge.
Powered by
You need to be a member of MAPENZI to add comments!