Tulonge

 

Ina sikitisha sana kuona watu wengi wamekua wakifanya ngono ni moja ya starehe kubwa kwao na kufanya kushea mapenzi na watu mbalil mbali huku na kule na watu wengi wenye tabia kama hiyo daima mwisho wake inakua ni kuambuli magojwa mabali mbali ya zinaa na ukimwi ikiwa ni moja wapo,sio kama namanisha wenye ukimwi wote ni wazinzi laa,wapo wao ambukizwa na wazazi au wale kupitia viaa vya ncha kali na mengineyo.

kwa sasa gonjwa hili limekuwa ni tatizo kubwa hapa duniani na itakuwa vyema kama na sisi kama wadau wa tulonge tukionyesha nguvu zetu kupiga vita ugonjwa huu ..... kumbuka hili ni gonjwa letu sote

 

regards

ABD

Views: 3154

Replies to This Discussion

Inanisikitisha sana kuona picha hizi!Mwenyezi Mungu atuepushie mbali gonjwa hili!
ee mungu wangu inasikitisha lakini cha kushangaza tumeumbwa kusahau kabisa cjui kwa kweli itumike njia gani mbadala itakayo weza kutuingia na kulitambua hili au laa nguvu zake aliye juu ndo kinga tosha, jamani jamani hebu tuzinduke ukimwi unaua, tena afadhali hata ungekuwa unakupata muda huu na kufa lakini adhabu unayopata bado ugonjwa pia kwa wanao kuuguza jinsi vile wanavyopata taabu.
Mmmh! ebana hii inasikitisha. Inabidi kuwa makini sana.
Aisee inatisha, tujihadhari wakuu
Jamani kidonda kilicho kwa mwenzio kisikie tu best. Ee mwenyezi Mungu tusaidie tuepukana na janga hili. Ila tukumbuke yeye ndiye muweza wa yote atatuvusha.

Diana said:
Mmmh! ebana hii inasikitisha. Inabidi kuwa makini sana.


Diana said:
Mmmh! ebana hii inasikitisha. Inabidi kuwa makini sana.
daaah jamani hili gonjwa kweli limekaa pabaya sana, wadau tuwe makini jamani kama huwezi kabisa use ABC principal inatisha

Duuuu hii inatisha sana, lakini sijui mungu alituumba vipi maanake hatukawii kusahau hata kama ikitokea kwa ndugu hata jamaa wa karibu kufariki kwa ugonjwa huu baada ya siku mbili tu tulisha sahau tunaendelea na ule mchezo. Naomba Mungu atuepushe na janga hili.

Doh! wanangu hii ni noma haka kagonjwa kamekaa pabaya sijui tupakate?! maana pala penyewe panapotuponza

padogoo ila! mmh! nafikiri tunapaswa kuacha kunywa pombe kupita kiasi maana nayo inasababisha muda mwengine ufanye mambo ya ajabu umm pia tuache kufanya ngono zembe dah! me sitaki tena mambo yenyewe ndio haya?!.

Omari ni kweli hutaki tena? Au unatuzuga tu.

Omary said:

Doh! wanangu hii ni noma haka kagonjwa kamekaa pabaya sijui tupakate?! maana pala penyewe panapotuponza

padogoo ila! mmh! nafikiri tunapaswa kuacha kunywa pombe kupita kiasi maana nayo inasababisha muda mwengine ufanye mambo ya ajabu umm pia tuache kufanya ngono zembe dah! me sitaki tena mambo yenyewe ndio haya?!.

 Duuuuu, hii hali inatisha jamani tujihadhari na gonjwa hili.
nashukuru kuona wadau wa tulonge tunajali pia nashukuru kuona kama post hii imewagusa wengi na wengi naimani watakuwa care kupitia post hii na walicho kiona katika post hii.asanteni sana

RSS

© 2023   Created by Tulonge.   Powered by

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

/* \uascript type="text/javascript">\udinsert below header image\udif (typeof(x$) != 'undefined') {\ud var postHeaderImageAd = '\uadiv id="postHeaderImageAd ">\ua\ua/div>';\ud x$("#xg_masthead").after(postHeaderImageAd);\ud}\ud \uascript type="text/javascript">\ud insert below header image \udif (typeof(x$) != 'undefined') {\ud var postHeaderImageAd = '\uadiv id="postHeaderImageAd ">\ua\ua/div>';\ud x$("#xg_masthead").after(postHeaderImageAd);\ud}\ud /*