Tulonge

Information

VIJANA NA MENDELEO

WADAU WA TULONGE SASA NI MUDA WA KUJADILI KWA UPANDE WETU WA VIJANA NN KIFANYIKE KTK KUHAKIKISHA TUNAPATA MAENDELEO???NA TUHAKIKISHE IFIKAPO MWAKA 2020 VIJANA WAWE 80% YA WABUNGE HUKO MJENGONI

Members: 16
Latest Activity: Mar 3, 2013

Discussion Forum

VIJANA TUJIFUNZE KUTUMIA "Social Networks" KWA MAMBO YA KIMAENDELEO PIA.

Started by Tulonge. Last reply by KUNAMBI Jr Jan 2, 2011. 8 Replies

Pamoja na kutumia "social networks" kama Tulonge kwa nia ya kujuana na kuchangamshana vile vile tunatakiwa kuanza kuzitumia kwa shunghuli za kimaendeleo zaidi. Nadhani itakua ni jambo la maana sana…Continue

VIJANA TUJITAMBUE

Started by Silas A. Ntiyamila Nov 27, 2010. 0 Replies

Vijana yatupasa tujitambue kwanza katika mazingira tuliyonayo ndipo tutajiletea maendeleo bila kipingamizi, kwa sasa vijana wengi hatujitambui ndo maana tunatafuta njia mbadala za kutafuta suluhisho…Continue

Comment Wall

Add a Comment

You need to be a member of VIJANA NA MENDELEO to add comments!

Comment by eddie on September 16, 2012 at 1:16

Nimeamua kujiunga nami humu niweze kutoa maoni yangu. Kusema kweli vijana ni wenye nguvu na ni rahisi kuleta maendeleo. Lakini vijana wengi siku hizi au kwa kawaida ya watanzania wengi ni porojo tu. Yaani utaweza kuona mtu anatoa mapendekezo ambayo yanavutia sana na kutoa imani kwa watu kwamba yanafaa...lakini utekelezaji ni hovyo kabisa.......

Comment by KUNAMBI Jr on January 8, 2011 at 12:20
kinachotufanya kuwa nyuma vijana wa bongo kwanza ni ukosefu wa elimu,pili ni kutosaidiana kwa kupeana taarifa mbalimbali za kimaendeleo n.k, so kwa kutumia kijiji chetu cha tulonge wadau tuweke tofauti zetu pembeni na kuangalia nini cha kufanya ili kumsaidia kijana mwenzako aliye ktk mazingira magumu kimaisha kwa kumpa ushauri au njia mbadala ya kufanya ili ajing'amue ktk dimbwi hili na shida sizizikwisha, "VIJANA KWANZA VYAMA BAADAE"
Comment by Godwin Kazimoto on January 7, 2011 at 10:12
TUPO WOTE  JAMANI
Comment by hassan damnan on November 8, 2010 at 12:17
nipo pamoja nanyi vijana
Comment by Tulonge on November 4, 2010 at 13:19
Pa1 SN MKUU
 

Members (15)

 
 
 

© 2023   Created by Tulonge.   Powered by

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

/* \uascript type="text/javascript">\udinsert below header image\udif (typeof(x$) != 'undefined') {\ud var postHeaderImageAd = '\uadiv id="postHeaderImageAd ">\ua\ua/div>';\ud x$("#xg_masthead").after(postHeaderImageAd);\ud}\ud \uascript type="text/javascript">\ud insert below header image \udif (typeof(x$) != 'undefined') {\ud var postHeaderImageAd = '\uadiv id="postHeaderImageAd ">\ua\ua/div>';\ud x$("#xg_masthead").after(postHeaderImageAd);\ud}\ud /*