Mapenzi ni moja kati ya mambo yaliyo tawala sana katika ulimwengu huu kwa sasa. Hatuna budi kuchukua nafasi hii ili tuweze kubadilishana mawazo kuhusu mapenzi.
Members: 78
Latest Activity: Dec 1, 2014
Started by Lilian. Last reply by david ngoiya Dec 1, 2014. 1 Reply 0 Likes
Kabla ya kuanza najua wale wanaume wenye vibamia watachukizwa na kuiponda mada hii. Ila huu ndiyo ukweli, wanawake tuliowengi huwa…Continue
Started by Tulonge Dec 31, 2013. 0 Replies 0 Likes
What makes men cheat? Dr Kamal Khurana,relationship counselor, dug through past research on male infidelity, and has even counseled couples…Continue
Started by Tulonge. Last reply by Bonielly Dec 23, 2013. 1 Reply 0 Likes
Kitu chochote ukitaka ukifanye ukiwa na raha,ni lazima ukiandae vizuri..Katika suala la mapenzi, watu wengi wameshindwa kufikia kilele cha…Continue
Started by Tulonge. Last reply by Bonielly Nov 27, 2013. 1 Reply 0 Likes
Kuna mambo kadhaa ambayo msichana anatakiwa kuwa makini nayo katika kuhakikisha uchumba wake unadumu na kufikia hatua ya kuolewa na kwenda…Continue
Started by Lilian. Last reply by Bonielly Nov 25, 2013. 4 Replies 1 Like
Katika hali ya kawaida kufanya mapenzi kuna faida nyingi, lakini linapokuja suala la kuzidi kiasi tunapata matatizo ya msingi ambayo huleta…Continue
Started by Tulonge. Last reply by Dixon Kaishozi Nov 5, 2013. 1 Reply 1 Like
Kuna dalili nyingi ambazo zinajitokeza, lakini ukiona zaidi ya dalili mbili zinajitokeza kuna uwezekano mkubwa wa kitu kinachoendelea nje ya mahusiano yenu au ndoa yenu. MaumbileViungo vya uzaziViungo vya mahusiano vya mwanamke kwa kawaida bila…Continue
Started by Lilian. Last reply by Lilian Oct 6, 2013. 4 Replies 1 Like
Wataalamu wa maswala ya mahusiano wanaamini kwamba, mwanamke anapotoka nje ya ndoa yake, inakuwa rahisi sana kubainika au kufumaniwa kuliko…Continue
Started by Joan. Last reply by Mama Malaika Oct 3, 2013. 8 Replies 1 Like
Utafiti umeonyesha baadhi ya vitu vilivyosababisha ndoa za babu zetu zidumu ilikuwa babu na bibi kulala pamoja kwenye vitanda, ngozi za wanyama au mikeka yenye ukubwa usiozidi futi 2.5. Umbali wa futi 2.5 uliwawezesha wanandoa kuwa pamoja na…Continue
Add a Comment
moreen pamoja daima milele,
Everybody has heard of the rebound fling.
This is a relationship that comes very quickly on the heels of another relationship ending. Rebounds are rarely based on love but are really a way of alleviating the loneliness people feel when a relationship ends. Even people who wanted their previous relationship to end can fall for the rebound phenomenon. Rebounding can feel like love for the simple reason that the people involved want to be in love. They are used to being in a relationship and feeling in love and more than anything else they want to feel those things again. They convince themselves they are in love when in reality they are really missing the relationship they left behind. This doesn’t necessarily mean that they want their old partner back it just means that they want to be in a relationship with somebody… and in a rebound phase that somebody could be anybody. Rebounding is shady because usually one of the people involved has genuine feelings for the other and this person ends up getting hurt when the rebounder comes to their senses (sort of speak). You can never be open to a new love when a part of you is pining for one that has been lost. Rebound relationships are really just emotional band-aids and new love can’t be found when old love wounds haven’t been given time to heal. How can you tell when enough time has passed between the end of one relationship and the beginning of another? How can you protect yourself from a rebound-based relationship? The answers are complex. There is no proven amount of time needed to move on from a relationship and for this reason it’s hard to say how one can protect themselves and their heart from a rebound. However there are some very clear signs that you (or your new beau as the case may be) aren’t quite over a lost love. If the old relationship keeps coming up or interfering with the progress of a new relationship than chances are good that you’re stuck in a rebound. If the rebounder keeps rehashing problems from the past relationship within the new relationship this is a clear sign that they haven’t moved on enough to fall in love again. Finally, if there are unresolved issues from the old relationship chances are very good that the new relationship is a rebound. Bottom line, if you feel as if the old relationship is a third party in your relationship yours is not a relationship that is based on love. You can’t find new love when you are harboring feelings for an old love or when you are longing to be in a relationship. Love can’t be forced at will, it must be found, and that can only happen for real when our hearts and minds are free.
USHAURI WA BURE KWA WAPENDANAO
Hasa ktk kipindi kilicho mbele yetu cha Valentine's Day.
Kuwa mwepesi wa kusamehe
Sahau yaliyopita kama mlitengana.
Kuwa na roho ya huruma kwa mwenzio.
Kama mwenzio bado anasoma usiwe na wivu wa husda kwa marafiki zake
Mpenzi wako ni mzuri, lkn ucmchakachue kwa rafiki yake.
Na mwisho, Rudi mapema home mlifurahie penzi lenu na hata watoto wakuzoee. Utafika mbali!
© 2021 Created by Tulonge.
Powered by
You need to be a member of MAPENZI to add comments!