Share 'KAMA VILE WANASEMA......'
Mvulana:Unajua mimi nakupenda sana wewe?
Msichana:mmmh najua mpenzi....
Mvulana:Nimeshawambia wazazi wangu tukisha maliza tu shule nakuchukua jumla.
Msichana:Mmmmh kweli mpenzi? maana warembo wako wengi huwezi badilika kweli wewe?
Mvulana:Aaaah wapi! wewe ni wangu wa kufa na kuzikana.Na ole wake nione kidume chochote kinakunyemelea, kipondo nitakachompa atajuta kuzaliwa.
Mdau ukiwa shule ulishawahi mpenda msichana/mvulana na mkaahidiana kuoana baada ya masomo? na je hiyo ahadi yenu ilitimia?