Mimi si mwana siasa, ila picha hii imenichekesha sana nikaamua niiweke hapa
Tags:
Add a Comment
Yani hii picha ilinifanya nicheke hadi mbavu zikaniuma.Yani hapo anamaanisha CCM ndo imemfanya apauke kiasi hicho teh teh teh.Siasa bana, ndomaana mimi cna chama.
hahahaa dogo kweli anaelewa maana ya ccm.te te teee eti huna hmu.
Ndiyo hali halisi... waziri mkubwa analipwa sh mil. 26 kwa mwezi.. haina makato wala nini.. nyumba anayoishi niya serikali, bili zote.. umeme na maji zinalipwa.. chakula na wafanyakazi wanalipwa na serikali..
Wakati kuna watu kama huyo mtoto hawajui mlo unaofuata utakuaje!!!! ...... Siendelei.. NUKUTA!!!!
mh
nafikili ana maanisha maisha magumu kwa sababu CCM ndo chama tawala.
© 2023 Created by Tulonge.
Powered by
You need to be a member of Tulonge to add comments!
Join Tulonge