Add a Comment
mmmmmmh noma
Hii ni moja kati yakazi ambazo kiukweli zinataka kuwa na subira + usiri manake,mmmmmmmm!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Sipati picha mkono wa kulia wa fundi umeshika wapi teh teh teh, maana huko ulipo elekea ni balaa tupu..
Wengi tutakuwa mafundi
Teh teh teh ndomaana fundi haiachi hiyo kazi. Si unamuona anazeekea kwenye hiyo hiyo kazi
du, hii sasa balaa,
huu sasa ugomvi
Hapo jamaa anaweza mpima kwa masaa ma5, hamalizi
© 2023 Created by Tulonge.
Powered by
You need to be a member of Tulonge to add comments!
Join Tulonge