Add a Comment
Nakutania tu jamani.... au tuweke wazi @ Lucie ?
Ahaaa bac mgogo yupo kama hampo
HAHAAAAAA... hapa na mimi namuunga mguu alfani. Na mi simo!!!!
hahahahhaa
Angela lile la obama ni la matamanio ustake kusema hapo natamani mtu ati...
hahahahhah..hapo mi simo@Angela
HA HA HA POZI LA LUCIE MDOMO KARIBU IWE KAMA ILE PICHA YA OBAMA NA YUE MSICHANA LOL
hahahahahah..Na hivi yuko huko huko lazima awatafute mi simo...
Hahahaa... sisemi.. mnataka mgogo anitafute ?
naww ulielewa vp @dixon?
Hahahaha Nilimuuliza alfani km alielewa vp maana mi nilickiza vby, mi nilisikia km jamaa kasema eti alikuwa mnene km yule dada muhudumu!
© 2021 Created by Tulonge.
Powered by
You need to be a member of Tulonge to add comments!
Join Tulonge