Add a Comment
Kaka Chaoga ukila vyombo vya kutosha hata hilo baridi hutalisikia!!!
mwaaaaaaaa!
ASALAAM ALEIKUM JAMIIA...NA HILO BARIDI LA HUKO SI MTAMNIBEBA JAMANI,,,
hureeeeeeeeee,mmetokelezeajee.lucy umeshine shosti.
Duh huyo kijana wa katikati aliiaga kazini anaumwa kumbe alikuja kujuimuika nanyi mwezi huu atapata nusu mshahara.Bai ze wey kulipendeza sana salam wote
© 2021 Created by Tulonge.
Powered by
You need to be a member of Tulonge to add comments!
Join Tulonge