Hahahahaahaaa usinivunje mbavu. Mwana naona umeshanizidi kete,mtoto amekiri mwenyewe kuwa umesha mshibisha.Hamna noma mkuu nimekubali kushindwa,mimi nitaendelea kula kwa macho boss. Huu ulugaluga wangu unanifanya watoto wanikimbie.Ngoja nitafute wa type yangu mkuu,hao wa matawi ya juu nawaachia nyie teh teh teh teh.Amani kwako mzee Eddy,2po pa1.
mpenzi wa moyo wangu, barafu wa friji langu, honey wa mkate wangu, u mzima? mic u biiiiiig tyme especiall mautamu xoxoxoxoox mwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Comment Wall (22 comments)
You need to be a member of Tulonge to add comments!
Join Tulonge
View All Comments