"Dunda.... Nyerere atakumbwa sana. Hakukuwa na mgao wa umeme wala maji enzi zake. Watu walikunywa maji ya bomba bila kuchemshwa kwani mamlaka husika zilikuwa makini. Mtoto wa mkulima wa tumbaku na korosho alikuwa na uhakika wa matibabu na elimu ya…"
"wazungu wamejiachia full shangwe... hapo wamelipa maelfu ya dollars kwenda Africa kuona wanyama. Sie waafrica wenye navyo wala hatujali ndio kwanza tunaharibu tu mazingira na kuua tembo, vifaru, chui kila kukicha."
"Mama yoyoo ndaghwenya? mimi sidai ila nashindwa andikia wewe baruwa kwasababu inahamahama na ng'mbe efeledei, mimi kasi yangu nalinda vitasa juwa ya salidama inachoma kama pasi nataka kwenda sansiba ila siamini gari ya kwenye maji…"