"hii inaonekana jinsi makanisa ya sasa yalivyoibuka mpaka watoto wanafanya vilevile wanavyofanya haya makanisa mapya manabii wamekuwa wengi sijui wa ukweli au ndo ya le yaliyoandikwa yanatimia watakuja manabii wauongo yangu ni hayo
"
"hizi ni bangi kabisa matambiko gani dogo si kabakwa kabisa jamani et mwana tulonge hivi huko kuna serikali mana dogo kalazimishwa ukcheki hio ya kupigwa busu unaona kabisa halielewi nini kinaendelea haya ndo maisha kila kukicha vituko…"
"hii ni kufulu wananchi maskini yeye anatumia paund 400,000 kwa siku tu yakuzaliwa di is bu shit ufisadi wa hali ya juu kweli africa tutatoka never like this"
"hivi kweli serikali yetu iko serious don't tell me this guy they are not serious kwa namna hii watoto watafaulu shule zitakazo oongoza kila siku ni zile za st mary's lakini za kwetu st kayumba tutabaki hvi pande hizo kuna mbunge au kuna…"