"Kwema huku jama."
Duuh! mimi nipo kaka, naona umepotea kweli, nani kakuficha kiasi hicho?
Pole sana mkuu, inabidi ukomae sana.Maana mziki wa kusoma huku unafanya kazi ni noma. Amani kwako kaka
2po pa1
Duuuh! hv wewe mtu bado upo hapa Duniani?
mbona hukutokea kwa party wewe!
Mambo, nimepita kukusalim baada ya kimya kingi. Ubarikiwe
Salama hapa?
Jamani wazima hapa?
© 2023 Created by Tulonge.
Powered by