*Wafanyabiashara, polisi watajwa
KOCHA wa timu ya taifa, Taifa Stars, Jan Poulsen amesema lugha ni kikwazo kinachomfanya ashindwe kufundisha timu hiyo kwa kiwango anachotaka. |
Added by Tulonge on March 31, 2011 at 23:00 — No Comments
*Wafanyabiashara, polisi watajwa
BAADHI ya wafanyabiashara wakubwa na askari polisi ni miongoni mwa wanaotajwa kuhusika kuunda genge la uchakachuaji petroli, dizeli na mafuta ya taa, imeelezwa.Uchakachuaji huo umekuwa ukisababisha taifa kupoteza kati ya sh. bilioni 25 na sh. bilioni 36 kila mwezi.Hayo yalibainika jana mjini Dar es Salaam, kwenye kikao cha Kamati ya Bunge ya Fedha na…
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Yussuf Makamba, amelaani habari iliyoandikwa na gazeti la Tanzania Daima yenye kichwa cha habari ‘CCM sasa wajipanga kumng'oa Kikwete’ na kusema ni za uzushi na upotoshaji.Kwa mujibu wa taarifa ya ufafanuzi aliyoitoa Makamba kwa vyombo vya habari jana, habari hiyo ni ya kufikirika."Habari hizi zinapaswa kupuuzwa na viongozi, wana-CCM na wananchi kwa jumla wanaoitakia mema nchi yetu. Habari hizi si za kweli, ni za kufikirika,"…
ContinueAdded by Tulonge on March 30, 2011 at 7:30 — 4 Comments
MCHUNGAJI Ambilikile Masapila anayetoa tiba ya magonjwa sugu katika Kijiji cha Samunge, Loliondo amewataka wagonjwa kuendelea kutumia dawa za hospitali hata baada ya kunywa dawa yake.Akizungumza kijijini hapo jana, Mchungaji Masapila alisema hakuna madhara kwa mgonjwa kuendelea na dawa zake za awali hata baada ya kunywa dawa yake na kwamba si vyema kuacha ghafla kutumia dawa hizo.“Hii dawa yangu inatibu, lakini haizuii kunywa nyingine, unaweza kunywa na ukiona umepona…
ContinueAdded by Tulonge on March 30, 2011 at 7:30 — 2 Comments
Added by Tulonge on March 27, 2011 at 21:30 — 4 Comments
2014
2013
2012
2011
1999
© 2019 Created by Tulonge.
Powered by