Tulonge

KUNAMBI Jr's Blog (8)

BINTI WA MIAKA 16 AKATWA SIKIO NA BABA YAKE BAADA YA KUKATAA KUOLEWA

‘’Huyo rafiki yake na baba, akamwabia baba yangu kwamba, ana kijana wake anataka kuoa. Baba akamwambia(rafiki yake), kwamba ampatie mahari kwani nyumbani kwake ana binti na ndiyo mimi. Hilo walikubaliana huko klabuni,’’alisema Sikitiko.

 

Geita – SERA ya  mtoto ya mwaka 1996 inasema kuwa mtoto ana haki ya kulindwa na…
Continue

Added by KUNAMBI Jr on November 6, 2012 at 15:00 — 8 Comments

WACHUNA NGOZI WAIBUKA UPYA IRINGA

TUKIO la kusikitisha limetokea hivi karibuni katika Kijiji cha Wenda, Kitongoji cha Lupeta, mkoani Iringa kwani umekutwa mwili wa mwanakijiji aliyetambulika kwa jina la Leonard Kutika (49) ukiwa umechunwa ngozi, hivyo kuvuta hisia kuwa wachuna ngozi wameibuka upya.

Licha ya kuchunwa ngozi,…
Continue

Added by KUNAMBI Jr on November 6, 2012 at 14:30 — 6 Comments

Hii nchi haikua na sababu na kua na mgao wa umeme

Kama inavyoonekana kwenye kiambatanisho hapo juu,kuna mradi umeshatangazwa kwa kujenda Bomba la kusafirisha gesi kutoka Mnazi Bay Mkoani Mtwara na  Somanga Fungu Plant Mpaka Dar es salaam kwa Kilometa 540,ninachojivunia sasa Plant ya kuzalisha na kusafirisha gesi Mkoani Mtwara tayari imeshanunuliwa na Tanzania kupitia Kampuni tanzu ya Tanesco ambayo ni…

Continue

Added by KUNAMBI Jr on November 6, 2012 at 10:45 — No Comments

SOMA KWA MAKINI HABARI HII KISHA CHUKUA MAAMUZI

JUMAPILI ILIYOPITA MJOMBA WANGU ALIKUWA KWENYE DALADALA AKITOKEA UBUNGO KWENDA TEGETA.BASI LILIPOFIKA MWENGE ABIRIA WALIONGEZEKA NA WENGINE WAKAWA WAMESIMAMA,KATI YA WALIOSIMAMA ALIKUWAPO MZEE MMOJA ALIYEKUWA NA HAND BAG KAMA TUNAZOBEBEA LAPTOP HIVI, YULE MZEE ALIMUOMBA MJOMBA WANGU AMSAIDIE KUMSHIKIA BAG LAKE KWA KUWA YEYE ALIKOSA SITI, BILA YA KUSITA AKAAMUA MUMSAIDIA KALE KA BAG" BAADA YA VITUO VIWILI YULE JAMAA MWENYE KA BAG;…

Continue

Added by KUNAMBI Jr on September 24, 2012 at 15:30 — 2 Comments

Utafiti Juu ya Ndoa>>Leo tuzungumzie hili wadau

KWA mujibu wa ripoti ya utafiti uliofanywa na Chuo Kikuu cha Guelph kilichopo Ontario, Canada sababu kuu za kutoka nje ya ndoa zimegawanyika sehemu mbili.



Utafiti huo unabainisha kuwa wanaume wanatoka nje ya ndoa kwa sababu ya tamaa. Ikiwa mumewe ni mtu mwenye tamaa ni vigumu kumdhibiti, maana hata kama utajipara, kuwa mnyenyekevu mithili ya malaika na kijitoa maisha yako yote kwa ajili ya kumridhisha yeye, bado atatoka nje ya ndoa.



Utafiti huo unasema hali ni tofauti… Continue

Added by KUNAMBI Jr on November 15, 2011 at 10:03 — 13 Comments

Mlima Kilimanjaro kugalagazwa Bodi ya Utalii Tanzania inahusika

MLIMA Kilimanjaro ambao ni mrefu kupita yote Afrika, umetupwa nje ya orodha ya Maajabu Saba mapya ya Dunia yaliyotangazwa mwishoni mwa wiki . 



Taarifa hiyo ilitolewa na Eamonn Fitzgerald ambaye ni Msemaji wa ‘New Seven Wonders’, taasisi iliyokuwa ikiratibu upigaji kura kwa vivutio vipatavyo 28 dunia nzima, vilivyoingia fainali za ‘Maajabu Saba Mapya ya Asili.’ 



Fitzgerald aliutaja Table Mountain ulioko Jiji la Cape Town, Afrika Kusini, kuwa…

Continue

Added by KUNAMBI Jr on November 15, 2011 at 9:52 — 14 Comments

© 2023   Created by Tulonge.   Powered by

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

/* \uascript type="text/javascript">\udinsert below header image\udif (typeof(x$) != 'undefined') {\ud var postHeaderImageAd = '\uadiv id="postHeaderImageAd ">\ua\ua/div>';\ud x$("#xg_masthead").after(postHeaderImageAd);\ud}\ud \uascript type="text/javascript">\ud insert below header image \udif (typeof(x$) != 'undefined') {\ud var postHeaderImageAd = '\uadiv id="postHeaderImageAd ">\ua\ua/div>';\ud x$("#xg_masthead").after(postHeaderImageAd);\ud}\ud /*