Add a Comment
Mmmmmmmmmmmmmmmmmh
Dada Angela usichoamini ni nini kama Kioongozi wa Kanisa kubwa tu ni SHOGA, Waziri mkuu wa UK ni shoga chakushangaza kwa mtu mweusi na mcheza basket ni nini? hayo ni matokeo ya kuto mheshimu mungu wa kwali. Binafsi naona wanatudhalilisha wanaume wote. eti wanataka kujua mwanamke anavyo faidi si ujinga huo?
dah mwenyewe siaminin kijana mzuri dah Ee mwenyezi Mungu Kiokoe kizazi hiki
Dhambi ndugu zangu ni kitu kibaya. Binadamu anataka kufanya kila kitu. Yatupasa kumuomba Mungu ili atuepushe na kila nguvu ya dhambi inayoendelea kitafuna dunia.
severin Acha bangi unamkung'utishaje? hebu nyoosha kiswahili hapo sijakuelewa, Ila kiukweli hawa watu sijui inakuwaje/ wanazaliwa hivi? au wanahalibikia ukubwani? Severin hebu muulize huyu mchizi alianzaje? maana haingii akilini kidume kama hiki kinakuwa mke wa mtu? dah! jamaa anakosa raha kweli huyu.
Huyu nikimpata namkung'utisha hadi anaacha huo ushoga wake, shenzi sana
Binafsi ushoga unanikera sana. Hv hao wanao oana huwa wanaplan kupata watoto?
© 2021 Created by Tulonge.
Powered by
You need to be a member of Tulonge to add comments!
Join Tulonge