Baadhi ya wachezaji wa Stars ndani ya suti kali wakiagwa
Timu ya soka ya Tanzania (Taifa Stars) leo kuanzia saa 12 jioni ilikua ikiagwa katika ukumbi wa New Africa Hotal Dsm tayari kwa safari yake kuelekea Morocco katika mchezo wa kufuzu kucheza fainali za kombe la Dunia huko Brazil 2014.
Mrisho Ngassa (wa pili toka kushoto) akiwa na wenzake
Mwinyi Kazimoto kushoto na wenzake wakipita jukwaani
Msanii Barnaba akiburudisha live
Kocha wa Stars Kim Poulsen akisoma jumbe za washabiki toka katika mtandao twitter
Add a Comment
safi sana, Mungu awatangulie.
SAFI
haha haha Kama Liverpool vile dadadeki safi kabisa
kila la heri taifa staa wtz tuko nyuma yenu
kila la kheri stars. We dream that our future will be bright. We are heading to the world cup only two steps to reach where we want to be....................................
© 2021 Created by Tulonge.
Powered by
You need to be a member of Tulonge to add comments!
Join Tulonge