Kwa siku mbili au tatu zilizopita kijiji chetu cha tulonge kimekua kimya sana, hakuna jipya lililoonekana hapa. Hii ni kutokana na kubanwa na majukumu mengi kwa Mwenyekiti 'Admin' hivyo kushindwa kuwajuza yaliyojiri ndani na nje ya Tanzania.
Ila hata wewe mdau unaweza msaidia Admin kuweka habari. Angalia ukurasa wa kwanza (home) ,chini karibu na 'Chat room' utaona sehemu imeandikwa "Add Blog Post". Bofya hapo kisha weka habari yako. Itahakikiwa kabla ya kuiruhusu ionekane.
Tupo pamoja
Add a Comment
Asanteni wadau, soon tutakua pa1.
Mama na Mary mmepinda nyie
© 2021 Created by Tulonge.
Powered by
You need to be a member of Tulonge to add comments!
Join Tulonge