Tulonge

Sakata la Sheikh Ponda: Waislam wageuza kituo cha polisi Morogoro kuwa sehemu ya Swala

Waumini wa dini ya kiislamu Manispaa ya Morogoro wakiwa katika ibada ya swala ya adhuri eneo la kituo kikuu cha polisi mkoani humo. Wakati tukio hili likiendelea, viongozi wa dini hiyo walikua na viongozi wa jeshi la polisi katika tume huru ya jinai iliyounda na makao makuu ya jeshi hilo kuchunguza tukio la kujeruh
iwa kwa Sheike Ponda Issa agosti 10 mwaka huu. Tukio hilo lilitokea katika uwanja wa shule ya msingi Kiwanja cha Ndege mara baada ya kumalizika kwa kongamano la kidini la idd pili.

Wakirukuu

Wakifunga swala

Chanzo: JumaMtanda Blog

Views: 531

Add a Comment

You need to be a member of Tulonge to add comments!

Join Tulonge

Comment by jacquerin gideon makoyola on August 14, 2013 at 9:49

Hapo kumekucha

Comment by KUNAMBI Jr on August 14, 2013 at 8:22

KAzi imeanza

© 2023   Created by Tulonge.   Powered by

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

/* \uascript type="text/javascript">\udinsert below header image\udif (typeof(x$) != 'undefined') {\ud var postHeaderImageAd = '\uadiv id="postHeaderImageAd ">\ua\ua/div>';\ud x$("#xg_masthead").after(postHeaderImageAd);\ud}\ud \uascript type="text/javascript">\ud insert below header image \udif (typeof(x$) != 'undefined') {\ud var postHeaderImageAd = '\uadiv id="postHeaderImageAd ">\ua\ua/div>';\ud x$("#xg_masthead").after(postHeaderImageAd);\ud}\ud /*