Tulonge

Brazil ya sasa si ile ya enzi hizo ktk soka, hata kwenye 10 bora ya viwango vya FIFA haipo

Sikua nafahamu kuwa Brazil imeshuka kiasi katika viwango vya FIFA. Miaka hiyo ilikua ni vigumu kuikosa kwenye nafasi 3 za juu.

Wakati nikiishangaa Brazil kwa kuwa nafasi ya 19, Tanzania yetu ipo nafasi ya 116

Views: 854

Add a Comment

You need to be a member of Tulonge to add comments!

Join Tulonge

Comment by MGAO SIAMINI,P on May 12, 2013 at 8:06

Taifa stars wera wera! tutafika tena tutakua tumekomaa si tumekaa bench kitambo tunayajua machungu.serikali iwekeze japo taifa stars watanzania watakatishe nyoyo zao kupitia soka.

Comment by Tulonge on May 11, 2013 at 21:14

Hahahaahaaa Ilya umenifurahisha. Mzee wa Big G kazeeka c o?

Comment by ILYA on May 11, 2013 at 17:32

Braizil imeisha,tunakuja sasa Taifa stars kuchukua nafasi yao,maana Taifa stars ya sasa si ile ya enzi zile iliyokuwa ikiboa katika soka!.Hii Stars ya sasa ni inakuja moto,hivyo Brazil na wenzao wakae mkao wa kula.Na sasa kidooogo tumeanza kupata fursa za wachezaji wetu kwenda kufanya Interview ya kisoka huko pande za mbele sipati picha hapo siku za usoni,na happ mafuns wa Futiboli wakae mkao wa kushangilia maana dunia itaelewa maana halisi ya Taifa Stars!.Tena nilikuwa na mpango wa kuishauri TFF iwasiliane na mzee wa Big G aliyestaafu ili kama vipi aionoe Taifa Stars walau kimwaka kimoja,inatosha!.Aaaaa lakini nimekumbuka kaisha zeeka achana nae!!!.

© 2023   Created by Tulonge.   Powered by

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

/* \uascript type="text/javascript">\udinsert below header image\udif (typeof(x$) != 'undefined') {\ud var postHeaderImageAd = '\uadiv id="postHeaderImageAd ">\ua\ua/div>';\ud x$("#xg_masthead").after(postHeaderImageAd);\ud}\ud \uascript type="text/javascript">\ud insert below header image \udif (typeof(x$) != 'undefined') {\ud var postHeaderImageAd = '\uadiv id="postHeaderImageAd ">\ua\ua/div>';\ud x$("#xg_masthead").after(postHeaderImageAd);\ud}\ud /*